Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Kama nature sio kula ugoro angekuwa mbali sana. Halafu siku hizi vijana wengi wanakula ugoro mimi kule kijijini nilizoea kuona wa bibi wanakula ugoro sasa siku hizi ni opp. kabisa. Mchizi ni mkali na anapendwa ile mbaya hata aimbe utumbo angetumia hio karesma na akafika mbali kimataifa na sio kuwa star wa temeke pekee.
Nakumbuka aliitwaga na mnet ku perform kwenye BB africa kwenye eviction show akapiga mchupa akasinzia ndege ikamwacha. Akakosa show kubwa kama ile sasa anakipga fiesta tu.
hujambo lakini