Likoeni jahazi langu....mapenzi yamenikolea, nipo kitandani

just leave her alone huyo hakupendi kwa dhati bali kuna vitu vyake anavotaka tofauti na upendo.labda kwake masters ndio anaiona ya muhimu zaidi kuliko upendo,wako wengi tu wazuri kaka zunguka zunguka usihangaike na huyo asiekupenda kutoka moyoni lazima atakuwa na mwingine na sii bureeeee
 
We m****e nini , kwanza mmejuwana kwenye mtandao, ukalala nae mara moja tu tena kwa muda mfupi. Bro ulipolalala nae hukumfikisha panapostahili, yaani hukumkuna alipotarajia na vingine vyote ni viji-sababu, hata hilo la kumdanganya ni upoenyo tu aliopatia wa kuchomokea. Achana nae, tafuta mwanamke mwingine mtakao kuwa compatible.

Wewe hata ukijiua hiyo yeye hana habari nayo, si unajiuwa wewe? yeye imuume nini? au atapata hasara gani kwa kifo chako? au wewe ukijiua una faida kwa jamii?

Hili jamaa linaonesha ni ile mitoto inayodekezwa sana nyumbani kwao mpaka inafikiri kuwa itadekezwa na duniani pia. Duniani hakuna kudekezana, mpige bakora kisawasawa mwanamke (mfikishe asipotegemea) yeyote yule, uone kama kama hakukuganda kama kupe.

Pata hivi vitu vya kukusaidia kidogo:

About Men Who Are To Be Held in Contempt

Know, O My Brother (to whom God be merciful), that a man who is misshapen, of coarse appearance, and whose member is short, thin and flabby, is contemptible in the eyes of women.
When such a man has a bout with a woman, he does not do his business with vigour and in a manner to give her enjoyment. He lays himself down upon her without previous toying, he does not kiss her, nor twine himself round her; he does not bite her, nor suck her lips, nor tickle her.
He gets upon her before she has begun to long for pleasure, and then he introduces with infinite trouble a member soft and nerveless. Scarcely has he commenced when he is already done for; he makes one or two movements, and then sinks upon the woman's breast to spend his sperm; and that is the most he can do. This done he withdraws his affair, and makes all haste to get down again from her.
Such a man--as was said by a writer--is quick in ejaculation and slow as to erection; after the trembling, which follows the ejaculation of the seed, his chest is heavy and his sides ache.
Qualities like these are no recommendation with women. Despicable also is the man who is false in his words; who does not fulfil the promise he has made; who never speaks without telling lies, and who conceals from his wife all his doings, except the adulterous exploits which he commits.
Women cannot esteem such men, as they cannot procure them any enjoyment.

It is said that a man of the name of Abbes, whose member was extremely small and slight, had a very corpulent wife, whom he could not contrive to satisfy in coition, so that she soon began to complain to her female friends about it.
This woman possessed a considerable fortune, whilst Abbes was very poor and when he wanted anything, she was sure not to let him have what he wanted.
One day he went to see a wise man, and submitted his case to him.
The sage told him: 'If you had a fine member you might dispose of her fortune. Do you not know that women's religion is in their vulvas? But I will prescribe you a remedy which will do away with your troubles.'
Abbes lost no time in making up the remedy according to the recipe of the wise man, and after he had used it his member grew to be long and thick. When his wife saw it in that state she was surprised; but it was still better when he made her feel in the matter of enjoyment quite another thing than she had been accustomed to experience; he began in fact to work her with his tool in quite a remarkable manner, to such a point that she trembled and sighed and sobbed and cried out during the operation.
As soon as the wife found in her husband such eminently good qualities she gave him her fortune, and placed her person and all she had at his disposal.


Sasa endelea huku: The Perfumed Garden Index

Mkuu I bet either umelewa au unasinzia hapo ulipo.
If none of th above then u ar mentally unfit., P**fu, ndo ushauri gani wa kutoa huo? if u don' av a Que, then find and do nidful kwa yo lyf instead of vomitin thoz smellin' sh**&t,
Umeboa mkuu, tena sana. Mijitu mingine bana:(:blah::blah::blah::blah::blah:
 
Mimi ni kijana mwanamume, nina rafiki yangu wa kike tumejuana kwa njia ya mtandao. Tumetokea kupendana sana hatuwezi kabisa kupita muda kidogo bila kuongea. Sikua na mpango wa kumtafuta mtu kwa sasa ila kwa kuwa tumependana niliamua kuipa nafasi, ninaishi nchi za nje na ilipidi nisafiri tuende tukaonane.
Baada ya kuonana tulilala wote na tulikua na muda mzuri pamoja japo ulikua sio muda mwingi kwa sababu nilitakiwa kurudi mapema.
Kuna vitu nilimkosea kwa kumdanganya na ilimuumiza sana, nilimuomba msamaha sana na niliwatumia pia watu wazima waliojua uhusiano wetu. Alinisamehe ila baada ya hapo yeye hakua tena na upendo ule tuliokua nao awali, nilimuuliza tatizo haswa ni nini na mbona hivyo!? Hakuweza kujibu na nilimuuliza kama labda kapata mtu au vipi ila amesema yupo single na hajapata mtu ila hajisikii tu kunipenda kama zamani, anakazana lakini haiwezekani. Imefikia muda ikabidi nimpressurize ili nijue ukweli maana nilikua naumia sana, sikujua la kufanya, nilifikia sehemu nipo kwenye stress kubwa....baada ya kufanya hivyo/kum-pressurize alinijibu kuwa kwa sasa anaona awe peke yake na awe na muda wake binafsi, apange maisha yake hivyo mimi na yeye tuachane. Haya yote ni mimi niliyasababisha!
Nilichanganyikiwa kusikia hivyo maana ninampenda mno, sikujua tena la kufanya. Nilitamani nife ili nisahau yote. Niliugua pressure/stress nikalazwa ka siku moja hospitalini. Ndugu zangu walijua kitu kilichotokea na yeye aliambiwa na marafiki zangu. Amenipigia na kuniambia anavyojisikia na anaomba nipone tujue la kufanya ila zaidi nifikirie maisha. Ameniambia kiasi yeye imemuumiza pia ila bado ameshikilia msimamo wake. Bado sijajua kuwa ni nini hasa cha kufanya. Ninampenda na hii ndio nafasi nilionayo, nifanye nini, nisaidieni kwa mawazo endelevu......mapenzi yameniteka, sijui la kufanya, kwa sasa nipo kitandani naugulia!!:decision:

Mkuu pole sana, yaliyokutokea yanakaribia kufanana na mimi kwa mbali. Kuna vitu huwa tunafanya bila kujijua kutokana na mapungufu ya kibin'adam but baadhi ya watu huwa wanashindwa kuelewa. Mkuu komaa naye na uwe unapima majibu yake unapoongea naye. Kama anakupenda utajua tu kadri unavyoongea naye, na ukishagundua then usikate tamaa. Ila ukiona hakuna hata dalili then u'll av to make a very difficulty decision. Mi muhanga mwenzako mkuu., just vuta subira na mpe muda ajirestart, she myt come back 2u if t's ur bahati.
All the best mkuu.., sikiliza huu wimbo YouTube - R.Kelly-When A Woman Loves (w/lyrics)
 
Ulimdanganya kweli na ukaomba msamaha na kakusamehe....sasa hataki uhusiano,ana sababu zake acha kujihisi wewe ndo chanzo....give her some space/distance afikiri na aamue,pengine kwenye kukukosa ataona umuhimu wako kwake.....ila kwa sasa unamkera tu na kumsumbua...na mara nyingi msichana akifikia kukuambia hivyo ana maanisha......acha kuugua,em kuwa strong......amebaki mwenyewe duniani?kama ulivyokutana nae ukampenda utakutana na mwingine......muache aende akiona unafaa na amekosea atarudi.....ila kama una muda wa kupoteza we mchunguze zaidi,pengine ana mwingine anayempenda zaidi yako!!

Pole sana ndo maisha haya!

He he he
Safi sana Michelle
Nakuaminia sana kufunda watu ktk mapenzi
 
Mkuu I bet either umelewa au unasinzia hapo ulipo.
If none of th above then u ar mentally unfit., P**fu, ndo ushauri gani wa kutoa huo? if u don' av a Que, then find and do nidful kwa yo lyf instead of vomitin thoz smellin' sh**&t,
Umeboa mkuu, tena sana. Mijitu mingine bana:(:blah::blah::blah::blah::blah:
#

Nadhani ungekuwa na elimu japo kidogo, ungejuwa kuwa huo ushauri niliompa ni wautaalam wa hali ya juu sana, kwa kuwa capacity yako ni ndogo haotouelewa hata kidogo, lakini, nakuomba upitie tena, labda utafunguka kichwa japo kidogo na utapata na mafunzo makubwa sana katika hayo.
 
umeambiwa wazi endelea na maisha yako bado unataka ushauri? wa nini sasa??? sie ndio tukubembelezee huyo dada au??jibu liko wazi sepa utafute mwingine....!!
otherwise endelea kujilegeza,ufe mwenzio aendelee kudunda na midume mingine kwa nafasi!:A S 13:
 
mimi kwa mtazamo wangu has ninahisia kuwa huyo dada hakurithishwa na either muonekano wako or maumbile yako ya kijinsia it was quite differ na matarajio yake au kama mlitumiana picha ukatuma ile ya ku edit basi kaona vitu viwili tofauti cha msingi we tulia utapata mwingine kaka
stay safe.....usijiue kwa ajili ya mapenzi family yako nakupenda mnao jipe moyo
 
ingawa uongo sio mzuri,hasa katika masuala ya mapenzi,ila maybe ulimuongopea ili uonekane upo juu kidogo,lakini inavyoonyesha huyo dada ni kama ametafuta sababu ya kukubwaga,kama anakupenda angekusamehe.na distance relationship ina kazi mno usisikie.the best way,kwa kuwa uko mbali nae,itakusaidia. concentrate na masomo yako,ipo siku utapata wako utampenda na yeye atakupenda.huwezi jua,pengine kuna mwengine anajiuliza atakupata lini.huyo kakukataa pengine ndio heri yako
 
Mimi ni kijana mwanamume, nina rafiki yangu wa kike tumejuana kwa njia ya mtandao. Tumetokea kupendana sana hatuwezi kabisa kupita muda kidogo bila kuongea. Sikua na mpango wa kumtafuta mtu kwa sasa ila kwa kuwa tumependana niliamua kuipa nafasi, ninaishi nchi za nje na ilipidi nisafiri tuende tukaonane.
Baada ya kuonana tulilala wote na tulikua na muda mzuri pamoja japo ulikua sio muda mwingi kwa sababu nilitakiwa kurudi mapema.
Kuna vitu nilimkosea kwa kumdanganya na ilimuumiza sana, nilimuomba msamaha sana na niliwatumia pia watu wazima waliojua uhusiano wetu. Alinisamehe ila baada ya hapo yeye hakua tena na upendo ule tuliokua nao awali, nilimuuliza tatizo haswa ni nini na mbona hivyo!? Hakuweza kujibu na nilimuuliza kama labda kapata mtu au vipi ila amesema yupo single na hajapata mtu ila hajisikii tu kunipenda kama zamani, anakazana lakini haiwezekani. Imefikia muda ikabidi nimpressurize ili nijue ukweli maana nilikua naumia sana, sikujua la kufanya, nilifikia sehemu nipo kwenye stress kubwa....baada ya kufanya hivyo/kum-pressurize alinijibu kuwa kwa sasa anaona awe peke yake na awe na muda wake binafsi, apange maisha yake hivyo mimi na yeye tuachane. Haya yote ni mimi niliyasababisha!
Nilichanganyikiwa kusikia hivyo maana ninampenda mno, sikujua tena la kufanya. Nilitamani nife ili nisahau yote. Niliugua pressure/stress nikalazwa ka siku moja hospitalini. Ndugu zangu walijua kitu kilichotokea na yeye aliambiwa na marafiki zangu. Amenipigia na kuniambia anavyojisikia na anaomba nipone tujue la kufanya ila zaidi nifikirie maisha. Ameniambia kiasi yeye imemuumiza pia ila bado ameshikilia msimamo wake. Bado sijajua kuwa ni nini hasa cha kufanya. Ninampenda na hii ndio nafasi nilionayo, nifanye nini, nisaidieni kwa mawazo endelevu......mapenzi yameniteka, sijui la kufanya, kwa sasa nipo kitandani naugulia!!:decision:

Uwongo ni SUMU!!!!! Pole tu lakini hata ingekuwa mimi nahisi ningekuwa kama huyo dada!!! UWONGO NI SUMU!!! Kwa nini udanganye!!!!!!!!
 
Hahahahahahaaaa! nimecheka sana jaman ila pole sana kaka angu kwa uzoefu wangu watu wengi wanaowasiliana na watu kwa mtandao halafu wakakutana ana kwa ana kuna vitu either vikufurahishe sana, au vikuboe sana, nahisi ulimboa ingawa wewe ulifurahia sana, sasa lilipotokea hilo la uongo akaamua kutake advantage. kama angekuwa anakupenda kwa dhati sanasana hilo ni kosa dogo sana.
Ni mawazo yangu tu

Huu ni ukweli, naukubali asilimia mia moja!!!!
 
ingawa uongo sio mzuri,hasa katika masuala ya mapenzi,ila maybe ulimuongopea ili uonekane upo juu kidogo,lakini inavyoonyesha huyo dada ni kama ametafuta sababu ya kukubwaga,kama anakupenda angekusamehe.na distance relationship ina kazi mno usisikie.the best way,kwa kuwa uko mbali nae,itakusaidia. concentrate na masomo yako,ipo siku utapata wako utampenda na yeye atakupenda.huwezi jua,pengine kuna mwengine anajiuliza atakupata lini.huyo kakukataa pengine ndio heri yako

Well said Kisukari!
 
mahusiano yenu yalianza kwenye mtandao so jinsi alivyokuwa anaku-imagine na alivyokuaona ni vitu viwili tofauti! jinsi ya kukuambia anashindwa, so ametafuta kijisababu cha kudanganywa ili akuache! count her out man n start living ur life pole lakini ndio masiha!
 
Duh!
Kumbe kuna watu wanapenda kikweli kweli kwenye mtandao.
Pole kaka, nisingependa kukulaumu kwa ulivyomdanganya.
Hofu yake kwake nafikiri anaona hata hivyo unavyomwambia unampenda bado unamdanganya..
Sasa hivi yaruhusu matendo yako yaoneshe kuwa unampenda ila isiwe too much hadi ahisi kama unapretend.
 
Man up dogo........Oooh nampenda sana siwezi sijui bila yeye, ulizaliwa naye huyo???!!!
 
Yeye kwa sasa anafanya kazi na mimi nilikua namalizia shahada ya kwanza. Nikawa nimemuambia kuwa nipo kwenye shahada ya pili badala ya kwanza. Huo ndio ulikua uongo wangu.

BUT WHY? UONGO WA KIPUUZI ambao usingeweza kukuongezea wala kukupunguzia chochote kwenye uhiasiano wenu.

Cha msingi jifunze na usirudie kosa tena huko mbele ya safari. Huyu dada namsifu kwa kutokubali kuvumilia uongo hata mdogo.Leo umedanganya kitu kidogo hivi, kesho atakuamini vipi na jambo kubwa?
 
Back
Top Bottom