sweetlady kumbe kuna mtoto kabisa huko! niwa jei efu?? mmemuita nani sasa?? no wonder juzi shemeji bishanga alikuwa anauliza jina la mtoto atakayekuwa zao la jei efu, hongereni mwaya!
Atakayegongea like hii post yangu ntaongea na Ziraili mtoa roho amsahau katika safari ya kuichukua roho yake. Na atakayeisoma bila kuilamba like ntatema mate chini kikojoleo chake kitabadilika jinsia afu kitahamia usoni.
Kilugha gani hicho kaba?
We mhaya?
ndugu yangu Bishanga, kwa mimi muda mwingi kama 99% natumia cm so kitufe cha like hakipo. naomba mniwie radhi kwa hili. . . .
mchunie bishanga! dawa ya moto ni moto! ila sweetlady naye mtata, mie simo!We acha tu,nitonye mpaka swaga kabadili,anajiona jf ye ndo kidume cha ukweli,angejua...
bishanga kwa kuwa umeshapata top 5 za likes, nahitaji zoezi liwe endelevu na kuwepo na kazawadi ili next time ninyakue taji la likes.hureeeeeeee!
Kitufe cha 'like' kipo mkuu. Gonga kwenye desktop; unaweza ku 'like' au ku-rate thread, pia kuona avatar za akina Kongosho, Malaria Sugu, Mimi Mwanakijiji, The Boss, Bishanga, Nape, Iselamagazi, Sikonge, Tusker Baridiiii n.k.