mi sijambo! unacheka nini Bishanga? Mwenzio nimejificha mvunguni kwa aibu naogopa msinione teh teh teh, ila nimeumbukaKwi kwi kwi kwi....hujambo Angel?
@Mapi usijali tunalishughulikia hilo ombi lakowengne hata ktufe cha like hatujui kkoje. Mods tuwekeeni tunaotumia sim bhana.
sweetlady kumbe kuna mtoto kabisa huko! niwa jei efu?? mmemuita nani sasa?? no wonder juzi shemeji bishanga alikuwa anauliza jina la mtoto atakayekuwa zao la jei efu, hongereni mwaya!Afu sijaona beberu wala mkungu wa ndizi......nakupa mpaka siku ya kesho usipoleta naanzisha mgomo afu uone kama mwanenu atakua.
Nipe namba yako ya simu nikurushie m pesa ukanunue ipad au samsung galaxy tablet,fasta fasta kabla nannhii hajaja kwenye uzi huu.
INVIRSIBLE anatubania sana tunaotumia mobile,hahahahaaaaaa... Loh.... Wengine tunatumia simu muda mwingi 'like' tunashindwa kutoa Invisible tuwekeekitufe cha like kwenye mobile version
Atakayegongea like hii post yangu ntaongea na Ziraili mtoa roho amsahau katika safari ya kuichukua roho yake. Na atakayeisoma bila kuilamba like ntatema mate chini kikojoleo chake kitabadilika jinsia afu kitahamia usoni.
INVIRSIBLE anatubania sana tunaotumia mobile,