sweetlady wengine nitazidi kuwajua taratibu, thanx for being one of my friends, kama bishanga ni shemejio, basi shemeji umepata hakuna litakalopindishwa, tena naamini mpango wa kando hana kabisa, nimekugongea 'LIKE' sitaki kumkwaza shemeji yako bishanga!!
ndugu yangu Bishanga, kwa mimi muda mwingi kama 99% natumia cm so kitufe cha like hakipo. naomba mniwie radhi kwa hili. . . .
Muulize sweetlady hivi:sweetlady wengine nitazidi kuwajua taratibu, thanx for being one of my friends, kama bishanga ni shemejio, basi shemeji umepata hakuna litakalopindishwa, tena naamini mpango wa kando hana kabisa, nimekugongea 'LIKE' sitaki kumkwaza shemeji yako bishanga!!
Nipe namba yako ya simu nikurushie m pesa ukanunue ipad au samsung galaxy tablet,fasta fasta kabla nannhii hajaja kwenye uzi huu.
Dah ingekuwa poa sana
sweetlady friends forever!! mi sasa hivi nitakuwa ni mwendo wa ma 'LIKE' tu, ubahili uwe sehemu za chini tu, sa ubahili mpaka kwenye kubonyeza kitufe??? hii kubwa kuliko!!!
NiPM nikujibu swali lako.
kwa hisani ya bishanga, sweetlady kichanga hakijambo?Muulize sweetlady hivi:
Kichanga hakijambo?
Nipe namba yako ya simu nikurushie m pesa ukanunue ipad au samsung galaxy tablet,fasta fasta kabla nannhii hajaja kwenye uzi huu.
Wewe ni jianaume bana!
Muulize sweetlady hivi:
Kichanga hakijambo?