................mie yangu macho tu, naona KK Security imehamia chitchat!!
Unajua hata kwa vitu vidogo kama hivi tunajua tabia za watu zilivyo..mimi nikikusoma umeongea point mara moja nakutwanga like yako...lakini kuna rafiki mmoja yeye mpaka aangalie na jina la mtoa mada!..Toeni bure maana na nyinyi mmepewa bure
BTW bishanga umetisha kwa kugundua hii ukarimu metric!..hala!
Alofulia mkeo.......nenda kwenye thread ya Tanmo uone mkeo anavyombusu Tanmo.