Lijue Neno la MUNGU

peacebm

Member
Jan 31, 2010
57
9
Kwa maombi;

Rudi kwangu uokoke,

Niangalieni mimi mkaokolewe, enyi nchi zote

za dunia, maana mimi ni MUNGU hapana mwingine.
 
Umerudi lini Nigeria?
Hamna mazingoombwe mengine mapya? haya yamisekule tumeyachoka!
 
Siyo muda mrefu huyu ndg yetu atatuibukia na KIJIKO (kikombe imeshatosha kila kona sasa)......Huwa wanaanza vivi hivi....
 
usiogope,wewe amin tu.hakuna lisilowezekana kwa mungu.mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu,msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.you are all blessed.amen!
 
Back
Top Bottom