- Thread starter
- #21
Mtaka cha uvunguni shart ainame, sasa akiinama hadi mgongo umuume shauri yake, swali langu ni kuwa, huyo mumewe haendi kazini kwani mpaka ampe dozi kutwa mara tatu?
Sio kutwa bali ni usiku saa ya kulala kama lisaa zima hivi, katikati ya usiku na asubuhi lazima amuamshe mamsap