Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Wakuu ni miezi michache tu ijayo tutaingia kwenye kashikashi za ligi ya uingereza na hapa kwetu mashabiki hadi vijijini utaka kuinjoi kila moment ya uondo huu.
Lakini mara nyingi visenti vya kiingilio huwa taabu kweli na vijana huwa maskini wanaishia kupiga chabo kila lilipo tundu ilimradi na wao wafaidi.
Vijana hawa kwenye moja ya mikoa ya Tz bara wakipiga chabo hilo
Lakini mara nyingi visenti vya kiingilio huwa taabu kweli na vijana huwa maskini wanaishia kupiga chabo kila lilipo tundu ilimradi na wao wafaidi.
Vijana hawa kwenye moja ya mikoa ya Tz bara wakipiga chabo hilo