naomba kuuliza wadau mnaofuatilia hii ligi. je kuna system ya timu kupanda na kushuka daraja kama ligi za soka. maana ni kipindi sasa naona timu ni zilezile au zinzbadilishwa majina kidogo tu.
naomba kuuliza wadau mnaofuatilia hii ligi. je kuna system ya timu kupanda na kushuka daraja kama ligi za soka. maana ni kipindi sasa naona timu ni zilezile au zinzbadilishwa majina kidogo tu.
hakuna kushuka wala kupanda daraja.kama ulivyosema zinabadilishwa majina mara nyingi zihama miji,mfano vancouver grizzlies imehamia memphis sasa hivi ni memphis grizzlies anachezea hashim thabiti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.