Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,343
- 6,403
Ratiba ya robo fainali -fainali ya ligi ya mabingwa ulaya imetoka,na kuonyesha njia rahisi kwa Real,kufika fainali!
Imepangwa hivi:-
AC MILAN VS BARCELONA,CHELSEA VS BENFICA. Washindi wa michezo hiyo miwili,watakutana nusu fainali. Michezo mingine miwili,ni kati ya REAL VS APOEL,mshindi atakutana na mshindi kati ya MARSEILE VS BAYERN.
Michezo ya kwanza itakuwa TRH 27/3 na 28/3 na marudiano 3/4 na 4/4.
Imepangwa hivi:-
AC MILAN VS BARCELONA,CHELSEA VS BENFICA. Washindi wa michezo hiyo miwili,watakutana nusu fainali. Michezo mingine miwili,ni kati ya REAL VS APOEL,mshindi atakutana na mshindi kati ya MARSEILE VS BAYERN.
Michezo ya kwanza itakuwa TRH 27/3 na 28/3 na marudiano 3/4 na 4/4.