Nazjaz JF-Expert Member Jan 20, 2011 7,683 8,830 Apr 11, 2011 #1 Yaani sijawahi kufuatilia ligi. Lakini jana nikajikuta na haha kupiga simu kwa wadau mbalimbali ili kupata matokeo.
Yaani sijawahi kufuatilia ligi. Lakini jana nikajikuta na haha kupiga simu kwa wadau mbalimbali ili kupata matokeo.
Kiranja Mkuu JF-Expert Member Feb 18, 2010 4,059 4,053 Apr 11, 2011 #2 Nasikia TFF wamepanga matokeo.
Pawaga JF-Expert Member Feb 14, 2011 1,330 966 Apr 11, 2011 #4 yah mwaka huu ligi ilikuwa babu kubwa yan mpaka mwisho hakuna mshndi c kama miaka mingne mapemaaa 2shamjua... Yanga hoyeeeeeee!
yah mwaka huu ligi ilikuwa babu kubwa yan mpaka mwisho hakuna mshndi c kama miaka mingne mapemaaa 2shamjua... Yanga hoyeeeeeee!
Kiranja Mkuu JF-Expert Member Feb 18, 2010 4,059 4,053 Apr 11, 2011 #5 Manazi wa YANGA ndivyo wasemavyo
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 28,903 10,534 Apr 11, 2011 #6 Kiranja Mkuu said: Nasikia TFF wamepanga matokeo. Click to expand... Chanzo tafadhali.
Nazjaz JF-Expert Member Jan 20, 2011 7,683 8,830 Apr 11, 2011 Thread starter #7 Kiranja Mkuu said: Manazi wa YANGA ndivyo wasemavyo Click to expand... thibitisha