haya kwetu sie wapenzi wa soka hasa soka la bongo tutaweza kujinafasi tena kwenya shamba la bibi uwanja wa uhuru twende wote tushuhudie na tuweze kuona wapi pa kurekebisha ili tuinue soka letu na inshallah mwaka 2012 nasi tuwe kwenye AFCON(CAN) sijui itakuwa nchi gani nimesahau
kwa nyie mlio mbali na dar basi ITV itawaletea mechi hizo live bila uzushi kwa zile mechi za dar
ushindani wa kibiashara wa TBC1 NA ITV unatakiwa uwe wa dizaini such that consumers tunafaidi zaidi
kwa nyie mlio mbali na dar basi ITV itawaletea mechi hizo live bila uzushi kwa zile mechi za dar
ushindani wa kibiashara wa TBC1 NA ITV unatakiwa uwe wa dizaini such that consumers tunafaidi zaidi