MwanaFalsafa1 JF-Expert Member Feb 26, 2008 5,565 836 May 21, 2009 #1 Je ni ligi ipi kati ya hizi ina kuvutia zaidi? Kwa nini?
Sinkala JF-Expert Member Dec 22, 2008 1,773 683 May 21, 2009 #2 Hakuna jibu sahihi kati ya hizo choice. Ongeza NBA katika hizo choice zako ili liwepo jibu sahihi miongoni mwa hizo.
Hakuna jibu sahihi kati ya hizo choice. Ongeza NBA katika hizo choice zako ili liwepo jibu sahihi miongoni mwa hizo.
Kyakya JF-Expert Member Apr 24, 2009 398 23 May 21, 2009 #3 Sinkala said: Hakuna jibu sahihi kati ya hizo choice. Ongeza NBA katika hizo choice zako ili liwepo jibu sahihi miongoni mwa hizo. Click to expand... Yah, ilitakiwa ijulikane ni league ya mchezo gani! Maana kuna ligi nyingi. Nadhani alimaanisha Mpira wa Miguu (Soccer).
Sinkala said: Hakuna jibu sahihi kati ya hizo choice. Ongeza NBA katika hizo choice zako ili liwepo jibu sahihi miongoni mwa hizo. Click to expand... Yah, ilitakiwa ijulikane ni league ya mchezo gani! Maana kuna ligi nyingi. Nadhani alimaanisha Mpira wa Miguu (Soccer).
Kyakya JF-Expert Member Apr 24, 2009 398 23 May 21, 2009 #4 Mi nadhani Ligi Kuu Tanzania Bara ni bora sana, kwa sababu ni ligi ya nyumbani na nina uwezo wa kuiona live wakati wowote ikichezwa maeneo ninayoishi.
Mi nadhani Ligi Kuu Tanzania Bara ni bora sana, kwa sababu ni ligi ya nyumbani na nina uwezo wa kuiona live wakati wowote ikichezwa maeneo ninayoishi.