Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Jana nilienda ppf tower, wakati nasubiri kupanda lift nilikuwa na wamama kadhaa na mkaka mmoja,
tukapanda, nilikuwa nashuka floor ya tano pamoja na wengine 2 , waliobaki walikuwa wanashuka floor za juu
zaidi... wakati Lift inakaribia kufika foor ya 5 ikawa inashuka chini kwa kasi sana, halafu inarudi tena kama
mara 3, wamama walikuwa wanaogopa sana, yule mkaka akatutoa wasiwasi akasema ndio kawaida ya ile lift
na inatakiwa kufanyiwa marekebisho....nilitamani nifungue mlango wa lift nitumie ngazi...lakini hakuna hiyo
option mpaka ufike floor unayotaka....Kuna siku hii lift italeta madhara makubwa, Watz naona hawathamini kabisa
maisha yao...
tukapanda, nilikuwa nashuka floor ya tano pamoja na wengine 2 , waliobaki walikuwa wanashuka floor za juu
zaidi... wakati Lift inakaribia kufika foor ya 5 ikawa inashuka chini kwa kasi sana, halafu inarudi tena kama
mara 3, wamama walikuwa wanaogopa sana, yule mkaka akatutoa wasiwasi akasema ndio kawaida ya ile lift
na inatakiwa kufanyiwa marekebisho....nilitamani nifungue mlango wa lift nitumie ngazi...lakini hakuna hiyo
option mpaka ufike floor unayotaka....Kuna siku hii lift italeta madhara makubwa, Watz naona hawathamini kabisa
maisha yao...