Na sie tunakupenda sana bibie Feis 1000. Nalog offMmh! Naipenda sana jf! Nalog off
We log in tu,ukiandika mie nitakuelewa. Nalog offSasa wewe WASHAWASHA vp, umeshalog off hapa tuweke maoni ya nn ambayo hutayaona????????????????
Nashukuru kwa ushauri wako,nitafanya hivi. Nalog offHuyo mwanamke muwekeni kati mkiwa pamoja asije wakosanisha
Najiamini kuliko maelezo,nitamwita huyu my friend wangu ili tuyamalize. Nalog offunajiamini mwite rafikiyo aje na huyo demu wake muyazungumzi
Mkuu aliyekwambia mie mkubwa ni nani? Nalog offNalog off ni aina ya utoto na lack of seriousness.
Hakuna shaka nitafanya hivyo. Nalog offmwite mweleze ukweli ulikuwje na akikataa mkule ukwelikweli wife wake
Washawasha All Right Reserved. Nalog offhii habari ingefaa itokee kwenye gazeti letu la udaku..!!!lol..
Hakuna noma nitampa mkanda mzima jinsi ulivyokuwa. Nalog offMweleweshe mshkaji ilivyokuwa kama ni rafiki wa kweli atakuelewa
We si unaogopa bandwith yako kuisha? Nikitungia sentensi maneno hayo si itaisha kabisa! Nalog offTunga sentensi kwa kutumia maneno haya
1. Rafiki
2. Gari
3. Mwanamke
4. Nizushia
5. Lift
Tata Zambe yoka Losambo eeh! Losambo x2. Hapana mkuu bado sijambandua huyu my shemeji yangu. Nalog offUsimwamwini sana mzee wa kulog off kwa sababu anaweza kuwa alishawahi kulamba hiyo kitu halafu anajitetea kinoma.
Mademu wa bure wapo kibao kitaani,je huwahitaji waje kukutoa bikra yako? Nalog offVya bure vinaua. Ova.
Hakuna noma,nitavichunia. Nalog offAcha kupenda vya bure.
Hakuna noma. Nalog offKama ndiyo hii habari "nalog off"
Nashukuru Mzee kwa ushauri wako chanya. Nalog offPole sana mkuu. Kama vipi nenda nyumbani kwa rafiki yako mkayamalize.
kila la kheri mkuu.Nalog offsitor zenu zote nalog off
aminia mkuu.Nalog offwe mweleze mshikaji ukweli kama hakuelewi we log off tu