Kimbweka JF-Expert Member Jul 16, 2009 8,597 1,683 Jan 4, 2012 #1 Duh jamaa kakomaa hivyo hivyo mpaka mambo ya ujenzi yaeleweke.....
Smile JF-Expert Member Jul 18, 2011 15,347 11,610 Jan 4, 2012 #2 wanaume tumeumbwa matesoo ohoo mateso kuhangaika
Ringo Edmund JF-Expert Member May 10, 2010 4,879 1,125 Jan 4, 2012 #3 maisha bora kwa kila mtanzania. wakati ghadafi akijengea wananchi wake nyumba kikwete ameachia wananchi wajiju.
maisha bora kwa kila mtanzania. wakati ghadafi akijengea wananchi wake nyumba kikwete ameachia wananchi wajiju.
Bourgeoisie JF-Expert Member Mar 26, 2009 656 162 Jan 4, 2012 #4 Ringo Edmund said: maisha bora kwa kila mtanzania. wakati ghadafi akijengea wananchi wake nyumba kikwete ameachia wananchi wajiju. Click to expand... Kwa sera za Freemasons Ghadafi alikengeuka!
Ringo Edmund said: maisha bora kwa kila mtanzania. wakati ghadafi akijengea wananchi wake nyumba kikwete ameachia wananchi wajiju. Click to expand... Kwa sera za Freemasons Ghadafi alikengeuka!
afrodenzi Platinum Member Nov 1, 2010 18,145 9,207 Jan 4, 2012 #6 Hii dunia hii , hapana wengine hata tofali hawajui ni nini wengine bila tofali hakuna kitu tumboni. World is not fair .......
Hii dunia hii , hapana wengine hata tofali hawajui ni nini wengine bila tofali hakuna kitu tumboni. World is not fair .......
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Jan 4, 2012 #7 Kazi nzito kama hiyo pesa yaishia bar au kuhonga changudoa
afrodenzi Platinum Member Nov 1, 2010 18,145 9,207 Jan 4, 2012 #8 MadameX said: Kazi nzito kama hiyo pesa yaishia bar au kuhonga changudoa Click to expand... we ulitaka aifanyie nini ?
MadameX said: Kazi nzito kama hiyo pesa yaishia bar au kuhonga changudoa Click to expand... we ulitaka aifanyie nini ?
Nduka Original JF-Expert Member Nov 6, 2010 1,012 816 Jan 4, 2012 #9 Halafu akimaliza kabanda kake Magufuli anakuja anakapiga chini eti kako kwenye road reserve na hakuna fidia. Kudadadeki ataua mtu!!!
Halafu akimaliza kabanda kake Magufuli anakuja anakapiga chini eti kako kwenye road reserve na hakuna fidia. Kudadadeki ataua mtu!!!