Life experiences

Duh! Mwaka 2009 nilipoondokewa na Baba, nililia kidogo tu, nilikuwa ninajizimua kuwapa moyo ndugu zangu. Lakini kilio kikuu ni zaidi ni 2010 pale yalipotangazwa matokeo ya uchaguzi na kusikia kuwa CCM itaendelea kuiburuza Tanzania. Nilivunjika moyo na kuililia Tanzania na Watanzania

Kweli Mtanzania halisi. Hauna ndugu pale Tume yao iliyomtangaza umuzimue pia?
 
Duh! Mwaka 2009 nilipoondokewa na Baba, nililia kidogo tu, nilikuwa ninajizimua kuwapa moyo ndugu zangu. Lakini kilio kikuu ni zaidi ni 2010 pale yalipotangazwa matokeo ya uchaguzi na kusikia kuwa CCM itaendelea kuiburuza Tanzania. Nilivunjika moyo na kuililia Tanzania na Watanzania

Pole sana my dear
kwa kuindokewa na baba mwaka2009
hata mimi niliondokewa na baba mwaka huo
Mwezi wa tisa..
 
Pole sana my dear
kwa kuindokewa na baba mwaka2009
hata mimi niliondokewa na baba mwaka huo
Mwezi wa tisa..
Asante sana Dada.
Death is the law of life.
Mine passed away in June.
I was very lucky to be with him during his last days and hours.
We all belong to God and to Him we'll return.
 
Ni January 21 this year, nilipoona jeneza lenye mwili wa mchumba wangu linashushwa kaburini. AAh, sitaki kukumbuka, napita tuu!

Pole sana Mestod. Yote ni matakwa ya Mungu.
Mungu Amlaze Mahali Pema - Amen!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom