MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,001
Duh! Mwaka 2009 nilipoondokewa na Baba, nililia kidogo tu, nilikuwa ninajizimua kuwapa moyo ndugu zangu. Lakini kilio kikuu ni zaidi ni 2010 pale yalipotangazwa matokeo ya uchaguzi na kusikia kuwa CCM itaendelea kuiburuza Tanzania. Nilivunjika moyo na kuililia Tanzania na Watanzania
Kweli Mtanzania halisi. Hauna ndugu pale Tume yao iliyomtangaza umuzimue pia?