Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,835
- 95,753
Majipu yamemshinda kabisa kwa jinsi inavyoelekeaHawana lolote wale,wanataka wachakachue tu
Mi nashangaa huyo mtumbua majipu hajaliona hili jipu
Au ilikuwa nguvu ya soda?
Kuhusu nape dah,yule mtoto ni mzigo tangu zamani
Hakuna kitu bure kabisa,yule ni hovyo kama Malinzi.
Waziri mzigo yule.!