Life after Death: What happens after death?

Hawana lolote wale,wanataka wachakachue tu
Mi nashangaa huyo mtumbua majipu hajaliona hili jipu

Au ilikuwa nguvu ya soda?

Kuhusu nape dah,yule mtoto ni mzigo tangu zamani

Hakuna kitu bure kabisa,yule ni hovyo kama Malinzi.

Waziri mzigo yule.!
Majipu yamemshinda kabisa kwa jinsi inavyoelekea
 
Hello guys!

I guess this kid is on psychedelic trip,just like Lanza himself

Or he must be snorting some kinda heavy stuff or cocaine

Hivi wadau uchaguzi wa zanzibar ndo unarudiwa?

Si patachimbika,Maalim atakubali kweli?

Nasikia nape kaharibu bungeni,eti?
Halafu kumbe remix ya zigo imetoka?domondi anatisha.

Cc @Jimena,Bennie 369,aretasludovinc
Is he serious? I guess he is just kidding

Maalim hawezi kukubali safari hii na kwa hakika patachimbika.
Inasemekana Unguja hawajawahi kufanya makosa Sema ndo vile tu magoli ya mikono

Nape kaharibu sana jamani, hivi makomeo alifikiria kweli Kabla hajampa uwaziri?
Hawana lolote wale,wanataka wachakachue tu
Mi nashangaa huyo mtumbua majipu hajaliona hili jipu

Au ilikuwa nguvu ya soda?

Kuhusu nape dah,yule mtoto ni mzigo tangu zamani

Hakuna kitu bure kabisa,yule ni hovyo kama Malinzi.

Waziri mzigo yule.!
Majipu yamemshinda kabisa kwa jinsi inavyoelekea
Hichi mnachokifanya si katika yale matendo ya kiungwana na uGT....kwa kuwa nyie hamfuhishwi na hichi kinachojadiliwa hapa haimanishi kuwa wote hatufurahishwi......kufanya hivi ni kutokuheshimu maoni ya wengine mlioyofautiana kimitazamo......kama unaona uzi unakukera au haujavukuvutia yapo majukwaa mengi au kuna nyuzi nyingine nyingi ambazo naamini katika hizo nyingi kuna zitakazokufurahisha.......

Jambo usilopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzio.....
 
Cc @aretasludovink
315488.jpg
 
Aisee!

Basi tuhesabu maumivu tena hii miaka mitano yake.

Halafu Ali kiba amefia wapi,mbona kimya sana?
Nasikia ana majungu siku hizi huyu dogo?
Mi hata nilishasahau yani we ndo umenikumbusha. Namjua baba Tee tu, #JeUtanipenda ndo habari ya mjini. Nani kanuna?
 
Back
Top Bottom