Life after Death: What happens after death?

(1) UUMBAJI.
udongo + pumzi ya uhai = nafsi hai (mwanzo 2:7)

(2) KIFO
Nafsi hai - pumzi ya uhai = udongo. (mwanzo 3:19, zaburi 146:4, zaburi 104:29)

(3) MTU AKIFA ROHO HAIENDI MBIGUNI.
Biblia inasema hivi; mhubiri 9:4-6,10 & mhubiri 3:19-21

Kwa kuwa liko tumaini kwa yule aliyeambatana na wote walio hai; (maana ni afadhali mbwa aliye hai kuliko simba aliyekufa);
kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.

Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.

Kwa maana linalowatukia wanadamu linawatukia wanyama; jambo moja lawatukia; anavyokufa huyu ndivyo anavyokufa huyu; naam, wote wanayo pumzi moja; wala mwanadamu hana kitu cha kumpita mnyama; kwa maana yote ni ubatili.

Wote huendea mahali pamoja; wote hutoka katika mavumbi; na hata mavumbini hurudi tena.

Ni nani ajuaye kama roho ya binadamu huenda juu, na kama roho ya mnyama huenda chini?
Hivyo nikaona ya kwamba hakuna jema kupita mwanadamu kuzifurahia kazi zake; kwa sababu hili ni fungu lake; kwa maana ni nani atakayemrudisha tena ili ayaone yatakayomfuata baadaye.

MTU ALIE KWENYE KOMA, AU ALIEZIMIA HUWA KWENYE NUSU MAUTI.

mtafute mtu aliwahi kuwa mahututi au aliewahi kuzimia muulize kama anakumbuka kuona chochote au kusikia chochote.

mshahara wa dhambi ni mauti. roho inayotenda dhambi itakufa.
yesu alipokufa hakwenda mbinguni hadi alipofufuka na kupaa..

waliokufa wamelala wanasubiri kila mtu kwa kadiri ya matendo yake. 1wathesalonike 4:13-15


 
Yesu akamwambia yule mwivi msalabani LEO HII UTAKUWA NAMI PEPONI. hakubaki kaburini.

yesu akamwambia usiniguse. sijaenda kwa baba.

(1) UUMBAJI.
udongo + pumzi ya uhai = nafsi hai (mwanzo 2:7)

(2) KIFO
Nafsi hai - pumzi ya uhai = udongo. (mwanzo 3:19, zaburi 146:4, zaburi 104:29)

(3) MTU AKIFA ROHO HAIENDI MBIGUNI.
Biblia inasema hivi; mhubiri 9:4-6,10 & mhubiri 3:19-21

Kwa kuwa liko tumaini kwa yule aliyeambatana na wote walio hai; (maana ni afadhali mbwa aliye hai kuliko simba aliyekufa);
kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.

Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.

Kwa maana linalowatukia wanadamu linawatukia wanyama; jambo moja lawatukia; anavyokufa huyu ndivyo anavyokufa huyu; naam, wote wanayo pumzi moja; wala mwanadamu hana kitu cha kumpita mnyama; kwa maana yote ni ubatili.

Wote huendea mahali pamoja; wote hutoka katika mavumbi; na hata mavumbini hurudi tena.

Ni nani ajuaye kama roho ya binadamu huenda juu, na kama roho ya mnyama huenda chini?
Hivyo nikaona ya kwamba hakuna jema kupita mwanadamu kuzifurahia kazi zake; kwa sababu hili ni fungu lake; kwa maana ni nani atakayemrudisha tena ili ayaone yatakayomfuata baadaye.

MTU ALIE KWENYE KOMA, AU ALIEZIMIA HUWA KWENYE NUSU MAUTI.

mtafute mtu aliwahi kuwa mahututi au aliewahi kuzimia muulize kama anakumbuka kuona chochote au kusikia chochote.

mshahara wa dhambi ni mauti. roho inayotenda dhambi itakufa.
yesu alipokufa hakwenda mbinguni hadi alipofufuka na kupaa..

waliokufa wamelala wanasubiri kila mtu kwa kadiri ya matendo yake. 1wathesalonike 4:13-15


 
Yesu akamwambia yule mwivi msalabani LEO HII UTAKUWA NAMI PEPONI. hakubaki kaburini.

Mkuu, Yesu alisema, "Hakika leo hivi utakuwa nami peponi"..yaani hii ikiwa namaanisha kuwa Yesu alimaanisha, (Leo hii nakuahidi/siku ya leo ninaweka agano na wewe kuwa utakuwa nami peponi)..

KUMBUKA: MUNGU alimwambia Adam kuwa "Siku utakapokula matunda ya mti huo(yaani wa Ujuzi wa mema na mabaya) utakufa hakika".
Jiulize,
1. Je, Adam alikufa siku hiyo hiyo alipokula tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya?
2. Je, MUNGU ni muongo?!!

Kama sivyo, basi hii ilimaanisha kuwa uandishi, hasa alama (punctuation) zilikuwa na shida..mf. naweza kusema, " happiness win, leo hii nitakuwa Rais"..Hii haimaanishi kuwa leo tarehe 11.04.2013 nitakuwa Rais, BALI tarehe hii ya leo ninaagana/weka ukumbusho kuwa siku moja nitakuwa Rais!

Hivyo basi ahadi ilitolewa siku ile ile na YESU, kwamba iko siku atakuwa naye peponi.
 
Last edited by a moderator:
Fungua hapa ->Ancient Aliens Aliens And The Third Reich. s2e5 - YouTube
ancient alliens S2/e5-yutube
 
How do we live after physical death?

Myself I have seen Sheol more than twice. Hell is not the same as Sheol (The pit) where those who dies go. It is place where those who die in sins go. It is lively and you will find yourself in full conscious as if you are alive only that you are completely cut off from the LORD .But for now no one had ever gone to Hell as it will be revealed at the last day. No one know of it but it has been said that Jesus tested the second death (That he went into hell) to redeem us from that punishment but apart from that it had never hosted any one else, even this current death and Sheol will be thrown in it and it is said that death itself will be afraid of the coming Hell and being the last enemy of the Lord it will be thrown in hell as well. even Satan will not be the first to be thrown in Hell but the third one then the sinners will follow.
 
how religion keep on telling lies about second life is beyond me?? how do you say somethng like that?? once u die thats it!!! every living thngs must come to the end of its life period!!!
 
Ushauri wa bure kwa wote msioamini kwamba kuna maisha baada ya kufa: Ni heri muamini kwamba yapo
maisha baada ya na ya kuwa Mungu yupo kuwahukumu wanadamu,ili mtakapofika msimkute huyo Mungu,
kuliko kuamini kwamba hakuna maisha baada ya kufa then unakufa immediately unahukumiwa kwenda motoni.
Maana neno linasema mwanadamu amewekewa kufa mara moja na baada ya kufa tu ni hukumu - WAEBRANIA 9:27
Yesu ni njia kweli na uzima mtu haji kwa Baba ila kupitia kwa Yesu.Nawashauri kuwa mumpokee Yesu kwenye
maisha yenu mkiwa bado hai,kwani kuna maisha baada ya kufa either Mbinguni milele kwa waliompokea Yesu au
motoni milele kwa waliomkataa Yesu'
 
Wakuu tumekua tukijipa matumaini ya pumziko la milele huko mbele ya mungu ambapo tumeamini ROHO HAIFI ITAENDELEA KUWEPO JE

1.Hii roho inaenda kukaa wapi juu au chini ya ardhi?

2.Tangu dunia ianze kuwepo je mungu ana store ya roho au zingine ameshazihukumu tayari kulingana na maandiko?

3.Kuna maandiko yanadai kuwa zinapoenda huko hukuta wanawake wazuri mungu anatoa je hii roho inawezaje kula mzigo wakati mwili umeoza kaburini?

4.je roho zinasubiria hukumu ya mwisho ya mungu au mungu anahukumu hapahapa na huko mbele hakuna maisha?

NIMECHANGANYIKIWA!
 
Wakuu tumekua tukijipa matumaini ya pumziko la milele huko mbele ya mungu ambapo huwatunaamini ROHO HAIFI ITAENDELEA KUWEPO kuna vitu huwa najiuliza lakini naishia hewani tu bila kuwa na majibu ingawaje na iman yangu na sipo hapa kupotosha iman za watu ni katika kufahamishana masuala haya

1.je hii roho inaenda kukaa wapi juu au chini ya ardhi?

2.tangu dunia ianze kuwepo je mungu amehukumu hizi roho au ndio zinasubiria hukumu ?
3. Kuna maandiko yanasema wale waliotenda mema mungu atawazawadia vitu vizuri ikiwemo wanawake warembo huko peponi je roho peke yake au pamoja na mwili?

4.je kuna maisha baada ya kifo?
Tafadhali nisaidieni
 
maisha ni system tu kama vile mzunguko wa Photosynthesis,tu again,tuna loose,tuna zeeka na kufa(hali ya kutokuwa na uhai).mambo ya enternal life,sijui hukumu na moto ni hadithi za uoga wa binadam juu ya kitu KISICHOPO,na HAKITAKUWEPO,

mwanadam baada ya kujikuta akiwa hai na mwendelezo wa maisha unaendelea ndo anaanza kujiuliza nn asili yake na nn hatima yake.??,hapa mwanadam ndo amaanza kubuni hadithi na kuanza kuandika mambo ambayo mtu anapaswa kufanya na yapi ni mabaya.hapa ndo tunapata vitabu kama Biblia,na Quran n.k. Lakin chanzo cha haya yote ni HOFU,ya mwanadam juuu ya uwepo wake.


Kwa maana hiyo basi elewa kwamba hakuna maisha baada ya haya na ukifa ndo imetoka unakuwa umekamilisha mzunguko.najua utaniuliza swali juu ya haya mambo yote tuyaonayo hapa ulimwenguni,haya mambo yapo kwa sababu yapo na si lazima kuwe na mwanzilishi wala msimamizi,ndo mana hakuna hata siku moja kajitokeza na kusema mimi ndiye ila hofu yetu ya kwamba yupo ndo inatufanya tumtaje tusiyemjua wala kumwona.
usiamini katika mafundisho ya upotishaji kwa kutumia hadithi za maisha ya wayahudi na waarabu.ndo mana hata ile mnaita biblia imejaa mila na desturi za wayahudi na sio jamii nyingine na wao wamefanikiwa kuiitangaza imani yao ndo mana wakristu ni wemgi sana.pia waarabu kwa upande wao wamefanikiwa japo walichelewa miaka 632,baada ya yule waliemwita yesu aliebadilisha kalenda na ndo mana leo ni mwaka 2013,na biblia inasema enzi za nuhu ni miaka mwaka 260 kabla ya yesu,kwa hiyo ni miaka 240kisha yesu kazaliwa lakini hapo kati kulikuwa na akina mussa,ibrahim,issac n.k.,na ukirudi nyuma kidogo mwaka 106-230.C utakutana na akina solomon,,lakini pia ukirudi nyuma mwa 9,unakutana na story ya uumbaji!!!! leo hiii twajua kabisa kwamba ulimwengu umekuwepo miaka milioni nyingi sana ,na viumbe vimetokea miaka mingi sana pia.sasa changania akili.tafuta kitabu changu kinaitwa.free ideaz utafumbuka macho
 
Wakuu tumekua tukijipa matumaini ya pumziko la milele huko mbele ya mungu ambapo huwatunaamini ROHO HAIFI ITAENDELEA KUWEPO kuna vitu huwa najiuliza lakini naishia hewani tu bila kuwa na majibu ingawaje na iman yangu na sipo hapa kupotosha iman za watu ni katika kufahamishana masuala haya

1.je hii roho inaenda kukaa wapi juu au chini ya ardhi?

2.tangu dunia ianze kuwepo je mungu amehukumu hizi roho au ndio zinasubiria hukumu ?
3. Kuna maandiko yanasema wale waliotenda mema mungu atawazawadia vitu vizuri ikiwemo wanawake warembo huko peponi je roho peke yake au pamoja na mwili?

4.je kuna maisha baada ya kifo?
Tafadhali nisaidieni
Mkuu Scater, usishangae hiki kimya, haya mambo unayouliza ni magumu sii mchezo, ila mimi hizi ndio anga zangu!.

  1. Mwili wa binadamu una sehemu kuu mbili, Physical body yaani mwili na spiritual body/astral bodu, auric body ambayo ndio huitwa roho!.
  2. Vivyo hivyo hii dunia nayo inazo sehemu kuu mbili, kuna dunia ya watu, physical world na dunia ya roho, spiritual world.
  3. Hii physical body ambayo ndio nyama, ni shell tuu iliyobeba spiritual body, na hii ndio imeundwa kwa mavumbi na ndiyo inayokufa na kurejea mavumbini!.
  4. Spiritual body, yaani roho, au uzima, imeumbwa kwa mfano wa Mungu haifi, inaishi milele na huu ndio huo uzima wa milele!.
  5. Ukifa, physical body ndio huwa inakufa na kuzikwa ardhini ili igeuke mavumbi, na spiritual body huuacha mwili huu na kuhamia katika dunia ya roho, yaani spiritual world!.
  6. Dini kuu mbili Ukisto na Uislamu zinafundisha kuwa ukifa kama umetenda mema, roho yako inakwenda mbinguni, au peponi, na kama umetenda dhambi, roho yako inakwenda motoni, au kwenye jehanum ya milele!.
  7. Sisi Wakatoliki, ili kujiplese na makali ya motoni, tumetengeneza sehemu ya ziada, inayoitwa kuzimu, au toharani, kuwa ukifa umetenda mema, unakwenda straight mbinguni au peponi, ukifa umetenda dhambi, roho yako inakwenda kuzimu, au toharani, huko unapata matese ya kuishi gizani kusubiria siku ya hukumu ya mwisho!. Ukiombewa na waliobaki, unasemehewa na kuingizwa mbunguni!.
  8. Hindu na Budhiism wanaamini kwenye life after life na life before life chini ya formula ya incarnation ambapo ukitenda mema, roho yako inazaliwa tena katika mtu ukitenda maovu, unazaliwa tena katika mnyama!.
  9. Kwa kuongezea tuu, kutokana na umaarufu wa dini hizi mbili za Wakristu na Waislmamu wanaoamini mbinguni ni juu na motoni ni chini, Dini ya Waadvetista Wasabato na Watcha Towers, wanaamini mbinguni na dunuani ni hapa hapa duniani!. Ukitenda mema utaishi kwa raha, ndio peponi na ukitenda maovu utaishi kwa shida ndio motoni. Hakuna maisha yoyote baada ya kifo!.
  10. Vile vikundi vya siri, seccrets societies wanazo siri zote za mbinguni na peponi na wanazifanya siri kwa wanachama wao pekee, nitembelee kule kwenye uzi wangu wa mambo ya powers nikufunulie mbingu, pepo, hadi motoni!.
  11. Pasco
 
Mkuu Scater, usishangae hiki kimya, haya mambo unayouliza ni magumu sii mchezo, ila mimi hizi ndio anga zangu!.

  1. Mwili wa binadamu una sehemu kuu mbili, Physical body yaani mwili na spiritual body/astral bodu, auric body ambayo ndio huitwa roho!.
  2. Vivyo hivyo hii dunia nayo inazo sehemu kuu mbili, kuna dunia ya watu, physical world na dunia ya roho, spiritual world.
  3. Hii physical body ambayo ndio nyama, ni shell tuu iliyobeba spiritual body, na hii ndio imeundwa kwa mavumbi na ndiyo inayokufa na kurejea mavumbini!.
  4. Spiritual body, yaani roho, au uzima, imeumbwa kwa mfano wa Mungu haifi, inaishi milele na huu ndio huo uzima wa milele!.
  5. Ukifa, physical body ndio huwa inakufa na kuzikwa ardhini ili igeuke mavumbi, na spiritual body huuacha mwili huu na kuhamia katika dunia ya roho, yaani spiritual world!.
  6. Dini kuu mbili Ukisto na Uislamu zinafundisha kuwa ukifa kama umetenda mema, roho yako inakwenda mbinguni, au peponi, na kama umetenda dhambi, roho yako inakwenda motoni, au kwenye jehanum ya milele!.
  7. Sisi Wakatoliki, ili kujiplese na makali ya motoni, tumetengeneza sehemu ya ziada, inayoitwa kuzimu, au toharani, kuwa ukifa umetenda mema, unakwenda straight mbinguni au peponi, ukifa umetenda dhambi, roho yako inakwenda kuzimu, au toharani, huko unapata matese ya kuishi gizani kusubiria siku ya hukumu ya mwisho!. Ukiombewa na waliobaki, unasemehewa na kuingizwa mbunguni!.
  8. Hindu na Budhiism wanaamini kwenye life after life na life before life chini ya formula ya incarnation ambapo ukitenda mema, roho yako inazaliwa tena katika mtu ukitenda maovu, unazaliwa tena katika mnyama!.
  9. Kwa kuongezea tuu, kutokana na umaarufu wa dini hizi mbili za Wakristu na Waislmamu wanaoamini mbinguni ni juu na motoni ni chini, Dini ya Waadvetista Wasabato na Watcha Towers, wanaamini mbinguni na dunuani ni hapa hapa duniani!. Ukitenda mema utaishi kwa raha, ndio peponi na ukitenda maovu utaishi kwa shida ndio motoni. Hakuna maisha yoyote baada ya kifo!.
  10. Vile vikundi vya siri, seccrets societies wanazo siri zote za mbinguni na peponi na wanazifanya siri kwa wanachama wao pekee, nitembelee kule kwenye uzi wangu wa mambo ya powers nikufunulie mbingu, pepo, hadi motoni!.
  11. Pasco

Umechambua vema nawewe independent view yako ni ipi kuhusu kifo.
 
maisha ni system tu kama vile mzunguko wa Photosynthesis,tu again,tuna loose,tuna zeeka na kufa(hali ya kutokuwa na uhai).mambo ya enternal life,sijui hukumu na moto ni hadithi za uoga wa binadam juu ya kitu KISICHOPO,na HAKITAKUWEPO,

mwanadam baada ya kujikuta akiwa hai na mwendelezo wa maisha unaendelea ndo anaanza kujiuliza nn asili yake na nn hatima yake.??,hapa mwanadam ndo amaanza kubuni hadithi na kuanza kuandika mambo ambayo mtu anapaswa kufanya na yapi ni mabaya.hapa ndo tunapata vitabu kama Biblia,na Quran n.k. Lakin chanzo cha haya yote ni HOFU,ya mwanadam juuu ya uwepo wake.


Kwa maana hiyo basi elewa kwamba hakuna maisha baada ya haya na ukifa ndo imetoka unakuwa umekamilisha mzunguko.najua utaniuliza swali juu ya haya mambo yote tuyaonayo hapa ulimwenguni,haya mambo yapo kwa sababu yapo na si lazima kuwe na mwanzilishi wala msimamizi,ndo mana hakuna hata siku moja kajitokeza na kusema mimi ndiye ila hofu yetu ya kwamba yupo ndo inatufanya tumtaje tusiyemjua wala kumwona.
usiamini katika mafundisho ya upotishaji kwa kutumia hadithi za maisha ya wayahudi na waarabu.ndo mana hata ile mnaita biblia imejaa mila na desturi za wayahudi na sio jamii nyingine na wao wamefanikiwa kuiitangaza imani yao ndo mana wakristu ni wemgi sana.pia waarabu kwa upande wao wamefanikiwa japo walichelewa miaka 632,baada ya yule waliemwita yesu aliebadilisha kalenda na ndo mana leo ni mwaka 2013,na biblia inasema enzi za nuhu ni miaka mwaka 260 kabla ya yesu,kwa hiyo ni miaka 240kisha yesu kazaliwa lakini hapo kati kulikuwa na akina mussa,ibrahim,issac n.k.,na ukirudi nyuma kidogo mwaka 106-230.C utakutana na akina solomon,,lakini pia ukirudi nyuma mwa 9,unakutana na story ya uumbaji!!!! leo hiii twajua kabisa kwamba ulimwengu umekuwepo miaka milioni nyingi sana ,na viumbe vimetokea miaka mingi sana pia.sasa changania akili.tafuta kitabu changu kinaitwa.free ideaz utafumbuka macho

Wewe ulikufa kisha ukathibitisha kuwa hakuna maisha baada ya kifo? Au una uthibitisho gani ili tukuamini?
 
Back
Top Bottom