licha vichwa kujaa siasa zanzibar,lakini wanasiasa kwa hili wamefanikiwa na wametupiku wabara

muhogomchungu

JF-Expert Member
Jan 9, 2011
375
3
Nimejaribu kutembea sana Zanzibar.lkn sijaona majina ya shule (kwao huita skuli) yenye majina ya wanasiasa.
kwa mafanio majina ya shule ya wanasiasa ni wale waliopigania ukombozi wa tanzania, africa na baadhi ya nchi
i) Fidel-castro iliopo kisiwani Pemba
2) Benbella iliopo Mjini Unguja
3) Lumumba.
4)Haile Salasi
5)Nkurumah= chuo cha ualimu
6)Mwalimu Nyerere = Chuo kiliopo Maisara Mjini.
7)Chuo Cha Karume = Mbweni.
majina ya wanasiasa yapo kwenye barabara, najumba, mitaa,viwanja vya mpira.
sijasikia majina ya DK bilali, Ali hassan Mwinyi Sec School, Amani sec school, jumbe sec school, kikwete primary school. mama shadia school,kawawa sec school.
makamba sec school
maalim seif sec school.
lakini kwa upande wa bara naona majina mingi ya wanasiasa kama Edward Lowasa. makamba sec school, kawawa na wengine.
 
Mnaongozana kikasumba na ukiangalia kwa kina sana utaona ni usultani wa CCM tu na udiniudini hamuna jipya.
 
Nimejaribu kutembea sana Zanzibar.lkn sijaona majina ya shule (kwao huita skuli) yenye majina ya wanasiasa.
kwa mafanio majina ya shule ya wanasiasa ni wale waliopigania ukombozi wa tanzania, africa na baadhi ya nchi
i) Fidel-castro iliopo kisiwani Pemba
2) Benbella iliopo Mjini Unguja
3) Lumumba.
4)Haile Salasi
5)Nkurumah= chuo cha ualimu
6)Mwalimu Nyerere = Chuo kiliopo Maisara Mjini.
7)Chuo Cha Karume = Mbweni.
majina ya wanasiasa yapo kwenye barabara, najumba, mitaa,viwanja vya mpira.
sijasikia majina ya DK bilali, Ali hassan Mwinyi Sec School, Amani sec school, jumbe sec school, kikwete primary school. mama shadia school,kawawa sec school.
makamba sec school
maalim seif sec school.
lakini kwa upande wa bara naona majina mingi ya wanasiasa kama Edward Lowasa. makamba sec school, kawawa na wengine.

Ni hatari sana pale upeo wa mtu unavyojionyesha kwenye maandishi yake!
 
Back
Top Bottom