Sio kosa lako wewe, kwani inaonekana unatumia makalio yako kufikilia.
We CDM inamaana akili yako imeishiwa maneno yakuandika?Ustaalab hauuzwi kama simu za mchina.
Sio kosa lako wewe, kwani inaonekana unatumia makalio yako kufikilia.
nadhani una upungufu wa akili kichwani...huyo mmeru wenu alirithiwa na mmasai hawezi kua rais tanzania ya sayari ya dunia...labda aende mars..,hata akilala uchi kanisani
Chadema ni waasi kabisa...naomba itangazwe rasmi kua chadema ni janga la kitaifa kama malaria na ukimwi..mtuliepuke jamani..mwatanzania hamjazoea vita acheni kuwaendekeza wajinga wachache wenye uchu wa madaraka kwa propaganda za kutetea haki za watanzania na wengine vibaraka kama CUF na MTIKILA...fungueni macho yenu watanzania
Sasa ndg yangu kwetu tuna bunge wanafanya nini cha mana hawa kama c kulala?Huyu ni mang'aa wa siasa hata alichoandika hakieleweki unalinganisha Libya(ambako hawujui bunge nini ) na Tz
Kauli mbiu ya CHADEMA ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa Libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia Gadaf.
CHADEMA wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja JK wetu na magwanda yao kama chinjachinja!!
Sipendi CHADEMA wanachofanya, sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya CCM na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya CHADEMA kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia!
Go CCM, go JK, go Nape! I believe the new CCM is coming soon, CCM itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi!
Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa CHADEMA, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan rebels=CHADEMA!! El 4 2015
Afrika hajawah kutokea na hatokuja kutokea rais mzalendo and mwenye msimamo kama gadaf! Cdm wanaua watu wao wenyewe halaf wanasingizia ccm ili wapate popularity kwa wananchi and kuchonganisha! Cdm ni waroho wa vyeo na fedha
watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifaKauli mbiu ya CHADEMA ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa Libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia Gadaf.
CHADEMA wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja JK wetu na magwanda yao kama chinjachinja!!
Sipendi CHADEMA wanachofanya, sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya CCM na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya CHADEMA kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia!
Go CCM, go JK, go Nape! I believe the new CCM is coming soon, CCM itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi!
Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa CHADEMA, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan rebels=CHADEMA!! El 4 2015
Hilo nalo neno, tusipuuze maana wanafanana sana kwa kauli mbiu zaoKauli mbiu ya CHADEMA ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa Libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia Gadaf.
CHADEMA wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja JK wetu na magwanda yao kama chinjachinja!!
Sipendi CHADEMA wanachofanya, sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya CCM na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya CHADEMA kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia!
Go CCM, go JK, go Nape! I believe the new CCM is coming soon, CCM itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi!
Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa CHADEMA, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan rebels=CHADEMA!! El 4 2015
Kauli mbiu ya CHADEMA ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa Libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!!
.... tutashuhudia siku wanaingia ikulu .....!!
.. To me bora niwe maskini chini ya CCM na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya CHADEMA kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia!