Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,333
- 3,896
Jamani mbunge wetu tangu achaguliwe tulimuona kwenye msafara wa waziri yeye yuko bize bongo, sisi tukiwa na shida tunampataje, simu zao walizoacha huku vijijini hazipatikani, contacts zingine kama email hawaachi, viongozi acheni kuwa mbali na watu wenu!