LHRC: Kuitisha Mkutano kesho juu ya Mgomo wa MadakrarLegal and Human Rights Centre

Lasikoki

JF-Expert Member
Jan 10, 2010
640
118
Legal and Human Rights Centre

Tangazo Mkutano na Waandishi wa Habari Kuhusu uwezekano wa kuwepo Mgomo Mwingine wa Madaktari Mwananchi yeyote anayeguswa na suala la tishio la mgomo wa madaktari, mnaalikwa kuhudhuria kwa wingi mkutano na waandishi wa habari utakaofanyika kesho, Jumanne, Machi 6 2012, katika viwanja vya Mtandao wa Jinsia - Tanzania (TGNP), vilivyoko Mabibo jijini Dar es Salaam. Lengo ni kutafuta suluhisho la kudumu kuhusu mgomo mwingine wa madaktari ili kuzuia vifo zaidi vya Watanzania. Tuhudhurie kwa wingi.

NB: Muda ni saa Tatu Asubuhi Viwanja vya Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP - Mabibo, Dar es Salaam

My take: Serikali angalieni msije kuta mnajenga ukuta badala ya kuziba ufa. Let Mponda and Nkya go amd sit down with doctors na jaribuni kutatua matatizo yao. This time hatutaki mje kwenye misiba ya wahanga wa mgomo but we want you to prevent it
 
Ule wakati wa tz tulikuwa tunaungojea umefika.
Chonde chonde Kama kweli ww ni mwanamaponduzi wa kweli kesho tukawaunge WANAHARAKATI mkono.
Nchi hii itakombolewa na ww na mimi, usikae kulalamika kwenye keyboard ukafikiri utaleta changes .
BE THE CHANGE U WANT TO SEE IN THE WORLD .
Kesho Tuungane na WANAHARAKATI kuleta mabadiliko ya ukweli.
 
Kwa hakika wana JF wote wenye kutaka mabadiliko nawahimiza kesho wajitokeze kwa wingi kutoa support yao katika hili. Then iwe fundisho kwa serikali yetu kwa wasijifanyie tu mambo coz mamlaka na nguvu ya umma can be extremely limitless if not handled with care

Shime shime wote tujitokeze kwa wingi
 
Hii ni habari njema kwa watanzania wote,shime shime njooni tupaze sauti na milima isikie
Mungu ibariki Tanzania na watu wake wote
 
Mabadiliko yanaanzia kwa mtu mmoja mmoja. Mtu unakuta anajiita mwanaharakati ili tumbo lake lipate daily bread tu. Tanzania hakuna hata photocopy ya wanaharakati, nendeni mkatembeze homa juani tu maana upuuzi mtakaoujadili hautashugulikiwa kwa namna yoyote ile, labda mtaambulia ahadi kama zile ambazo watoto huwa wanaahidiwa kupewa pindi wanapolia, na wanyamazapo tu ahadi haitekelezi.
Ushauri wangu kwa watu mtakaochezea siku ya kesho kwa kuhudhuria LRHC ni bora hata ukabaki ndani tu ukalala.
 
Tanzania hakuna hata photocopy ya wanaharakati...........Ushauri wangu kwa watu mtakaochezea siku ya kesho kwa kuhudhuria LRHC ni bora hata ukabaki ndani tu ukalala.

tatizo wala si la kwako, shida ni unayemtumikia anakunyonya hadi akili japo ya kufikiri kidogo. Mfumo wa maisha wa siku hata siku unakunyima kufanya tafakuri ya jambo lolote.

Chunga sana ndugu, ila karibu kwenye mkutano by the way
 
Mama Bisimba na Mama Nkya watakuwepo? itabidi niende na kikoi najua polisi lazima wawepo na hawa akina mama safari hii watavua nguo hadharani!
 
Legal and Human Rights Centre

Tangazo Mkutano na Waandishi wa Habari Kuhusu uwezekano wa kuwepo Mgomo Mwingine wa Madaktari Mwananchi yeyote anayeguswa na suala la tishio la mgomo wa madaktari, mnaalikwa kuhudhuria kwa wingi mkutano na waandishi wa habari utakaofanyika kesho, Jumanne, Machi 6 2012, katika viwanja vya Mtandao wa Jinsia - Tanzania (TGNP), vilivyoko Mabibo jijini Dar es Salaam. Lengo ni kutafuta suluhisho la kudumu kuhusu mgomo mwingine wa madaktari ili kuzuia vifo zaidi vya Watanzania. Tuhudhurie kwa wingi.

NB: Muda ni saa Tatu Asubuhi Viwanja vya Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP - Mabibo, Dar es Salaam

My take: Serikali angalieni msije kuta mnajenga ukuta badala ya kuziba ufa. Let Mponda and Nkya go amd sit down with doctors na jaribuni kutatua matatizo yao. This time hatutaki mje kwenye misiba ya wahanga wa mgomo but we want you to prevent it

Mimi mgonjwa wangu akifa safari hii naanza na HELLEN KIJO BISIMBA na pesa za ugaibuni ili kuwaridhisha Wazungu kuwa zinafanya kazi
 
Mabadiliko yanaanzia kwa mtu mmoja mmoja. Mtu unakuta anajiita mwanaharakati ili tumbo lake lipate daily bread tu. Tanzania hakuna hata photocopy ya wanaharakati, nendeni mkatembeze homa juani tu maana upuuzi mtakaoujadili hautashugulikiwa kwa namna yoyote ile, labda mtaambulia ahadi kama zile ambazo watoto huwa wanaahidiwa kupewa pindi wanapolia, na wanyamazapo tu ahadi haitekelezi.
Ushauri wangu kwa watu mtakaochezea siku ya kesho kwa kuhudhuria LRHC ni bora hata ukabaki ndani tu ukalala.
Wakuu msimsikilize huyu siyo mtanzania ni raia wa kenya namfahamu sana. Kesho tujitokezeni kwa wingi, waamasisheni na wengine waudhurie kwa wingi
 
Mimi mgonjwa wangu akifa safari hii naanza na HELLEN KIJO BISIMBA na pesa za ugaibuni ili kuwaridhisha Wazungu kuwa zinafanya kazi
wewe ni mwana Apollo-India bwana. Kule hawajanuia kugoma utampeleka tu.
 
Kama ningekuwa Dar lazima ningeenda, mliokuwa Dar mtatuwakilisha nasi tuliombali na Dar
 
Back
Top Bottom