Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
[h=2][/h]
Hakika sasa kituo hiki kimeanza kutujulisha wananchi mantiki ya kusajiliwa kwao na kuendelea kuwepo kwao. Hongereni sana LHRC hakika mko juu kama ndege ya Obama.
Mpaka hapa mmetudhihirishia mambo mawili; (1) kwamba LHRC, kama TUCTA ya Mgaya, hivi sasa kuna VICHWA na wala si Ma-Kada wa CCM, na kwamba (2) kunapogusia muktadha mzima wa HAKI NA UTAWALA BORA kuchezewa huko ndiko sasa hamuambiliki hmuelewi somo bali ni kufa na mtu au chama.
Lakini isije ikawa nguvu ya soda.
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)
Hakika sasa kituo hiki kimeanza kutujulisha wananchi mantiki ya kusajiliwa kwao na kuendelea kuwepo kwao. Hongereni sana LHRC hakika mko juu kama ndege ya Obama.
Mpaka hapa mmetudhihirishia mambo mawili; (1) kwamba LHRC, kama TUCTA ya Mgaya, hivi sasa kuna VICHWA na wala si Ma-Kada wa CCM, na kwamba (2) kunapogusia muktadha mzima wa HAKI NA UTAWALA BORA kuchezewa huko ndiko sasa hamuambiliki hmuelewi somo bali ni kufa na mtu au chama.
Lakini isije ikawa nguvu ya soda.
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)