Lets Talk About Dating & Marriage: Speed dating vs Traditional

Hasa wanawake. "I love you etc etc,kumbe moyo wake upo mbali kabisa,anataka ile 70,000/week!

Huyu sasa atakuwa hataki mpenzi bali yuko mawindo mengine kabisa.

Haya ya watu kuwa waongo yapo pia katika zile 'njia za kawaida' ambazo binadamu tumezitumia kwa miaka mingi kutafuta penzi na hakuna tofauti yoyote na wale wanaotafuta online. Ukisoma baadhi ya michango katika ile link ya BBC wako waliobahatika kupata true love online.

Kuna watu wanaona online dating kuwa ni kitu chema na unaweza kufanikiwa kumpata barafu wa moyo wako. Kwa maoni yangu, Online dating inaweza kuwa hatari kuliko kukutana na mtu ana kwa ana ambapo unawezafanya initial screening haraka kwa kumtizama, kumsikiliza na kumsoma mtu ukajua haraka kuwa una deal namtu gani.Online sana sana utasoma mistari ya mtu tu na mtu huyo anaweza kuwa sivyo unavyomfikiria.Niliwahi kuona sinema ambapo kila mmoja alikuwa anamdanganya mwenzie kuanzia jinsi yake( sex), anavyofanana hadi aliko, anachofanya kujipatia riziki n.k.Wengine wanakuwa sio watu wema - hasa ughaibuni ambako unaweza kukutana na serial killers! Kama ni online dating basi ni afadhali ukutane na watu wa kwenu kwa maana jamii yako, nchi yako etc.
Ni bahati nasibu - unaweza kula au kuliwa.
 
So is 70,000/week the going rate?
Bluray..haya ni ya Fidel na demu wake aliyekuwa anamdanganya ati anahitaji 70,000/- ku retouch nywele!! Tulishamcheka sana na kulizungumzia hili huko kwenye thread ya "Kuoga mke na mume" iliyoanzishwa na PakaJimmy!
 
kukutana na mtu ana kwa ana ambapo unawezafanya initial screening haraka kwa kumtizama, kumsikiliza na kumsoma mtu ukajua haraka kuwa una deal namtu gani.

Hmmm....ummm...hii ya kukutana na mtu ana kwa ana utajua yote kweli yahusuyo huyo mtu kwa kumwangalia, kumsikiliza, na kumsoma kwa haraka haraka kweli? Vipi kama huyo mtu ana put his best foot forward?

Vipi Dennis Rader aka BTK yule wa kule Wichita, Kansas? Mke wake wakati anakutana naye miaka hiyo sijui ya sitini au sabini alijuwa mumewe ni serial killer?

Nionavyo mimi, hata mtu unayekutana naye ana kwa ana hutamjua kihivyo unless yeye mwenyewe anataka umjue! Either way, online or in person, the danger is still the same if you ask me. Ni watu wangapi wanakutana na watu kwenye mabaa, wanajenga uhusiano, next thing you know wameuana, wamebakana au kuibiana?
 
Hmmm....ummm...hii ya kukutana na mtu ana kwa ana utajua yote kweli yahusuyo huyo mtu kwa kumwangalia, kumsikiliza, na kumsoma kwa haraka haraka kweli? Vipi kama huyo mtu ana put his best foot forward?

Vipi Dennis Rader aka BTK yule wa kule Wichita, Kansas? Mke wake wakati anakutana naye miaka hiyo sijui ya sitini au sabini alijuwa mumewe ni serial killer?

Nionavyo mimi, hata mtu unayekutana naye ana kwa ana hutamjua kihivyo unless yeye mwenyewe anataka umjue! Either way, online or in person, the danger is still the same if you ask me. Ni watu wangapi wanakutana na watu kwenye mabaa, wanajenga uhusiano, next thing you know wameuana, wamebakana au kuibiana?

Ni kweli NN the likes of BTK,Jack Ripper,Sam etc hao ni sickos! Na wengi wao kweli inawezekana kabisa kutokuweza kuwasoma =BTK alikuwa mtu wa kuimba hadi kwaya kanisani, Sam alikuwa a genius of some sort lakini ikawa ngumu kuona the evil side of them.Pamoja na haya yote bado nitapenda kukutana ana kwa ana nifanye uamuzi wangu nisije kujilaumu baadae kuwa laiti ningejua!Nadhani utamaduni wa wenzetu pia unachangia kwa maana - mathalani leo ningepata mchumba au hata rafiki tu.. mazungumzo yetu yatapelekea angalau nijue background yake, na itanisaidia kuamua.Wenzetu wanakutana wenyewe hakuna cha due diligence search wala nini haoooo wanaishia kuanza kuishi kama partners au hata mke na mume.
 
MFANO,mimi na exposure niliyonayo,nikimkamata mtu bongo online-kweli huyu mwanadamu nikimshukia bongo,can she really evade the net hata kama i am pulling her leg.those who can call me a bluff ni asilimia ndogo sana
 
Ni kweli NN the likes of BTK,Jack Ripper,Sam etc hao ni sickos! Na wengi wao kweli inawezekana kabisa kutokuweza kuwasoma =BTK alikuwa mtu wa kuimba hadi kwaya kanisani, Sam alikuwa a genius of some sort lakini ikawa ngumu kuona the evil side of them.Pamoja na haya yote bado nitapenda kukutana ana kwa ana nifanye uamuzi wangu nisije kujilaumu baadae kuwa laiti ningejua!Nadhani utamaduni wa wenzetu pia unachangia kwa maana - mathalani leo ningepata mchumba au hata rafiki tu.. mazungumzo yatu yatapelekea angalau nijue background yake, na itabisaidia kuamua.Wenzetu wanakutana wenyewe hakuna cha due diligence serach wala nini haoooo wanaishia kuanza kuishi kama partners au hata mke na mume.

WoS, unachosema wewe kinawezekana hata katika online dating. Sasa sijui wewe online dating umeielewaje. Nilivyoielewa mimi ni kwamba unakutana na mtu, mnaanza correspondence kidogo kidogo. Mkifikia level ambayo wote mko comfortable mnabadilishana namba na kuanza kuongea. Mki click kwenye simu mnapanga mkutane sehemu ya hadhara. Mkiendelea ku click basi mnaenda taratibu hadi mnafikia mnapotaka kufika. Msipo click basi kila mtu anaendelea na kivyake. Sio mnapoanza tu correspondence basi inakuwa commitment...no no no. Hapo mtakuwa mnachemsha vibaya sana

Haina tofauti kubwa sana na kukutana na mtu ana kwa ana kwa sababu mtapitia hatua zile zile unless wewe mwenzangu enzi zako ilikuwa ukikutana na mtu tu kinaeleweka papo hapo (just kidding).

Mimi nadhani ni suala la kuwa open minded zaidi but who the hell I am...I could be wrong
 
NN,kwanini kisieleweke papo hapo,kwani philosophers who came up with the word "LOVE AT FIRST SIGHT"did not know what they were taking about?
 
NN,kwanini kisieleweke papo hapo,kwani philosophers who came up with the word "LOVE AT FIRST SIGHT"did not know what they were taking about?

Siyo kila mtu na siyo kila mara mtu unakumbana na hiyo so called love at first sight. It could be lust and not even love at first sight!
 
WoS, unachosema wewe kinawezekana hata katika online dating. Sasa sijui wewe online dating umeielewaje. Nilivyoielewa mimi ni kwamba unakutana na mtu, mnaanza correspondence kidogo kidogo. Mkifikia level ambayo wote mko comfortable mnabadilishana namba na kuanza kuongea. Mki click kwenye simu mnapanga mkutane sehemu ya hadhara. Mkiendelea ku click basi mnaenda taratibu hadi mnafikia mnapotaka kufika. Msipo click basi kila mtu anaendelea na kivyake. Sio mnapoanza tu correspondence basi inakuwa commitment...no no no. Hapo mtakuwa mnachemsha vibaya sana

Haina tofauti kubwa sana na kukutana na mtu ana kwa ana kwa sababu mtapitia hatua zile zile unless wewe mwenzangu enzi zako ilikuwa ukikutana na mtu tu kinaeleweka papo hapo (just kidding).

Mimi nadhani ni suala la kuwa open minded zaidi but who the hell I am...I could be wrong

NN
Nadhani naelewa online dating maana yake lakini usisahau muanzisha mada aliuliza kuwa Would you look for a spouse online?
Nadhani haimaanishi just casual dating bali dating inayoishia kuwa wenzi wa maisha.Ingekuwa ni date tu basi ningekubaliana na wewe unavyosema kuwa.......utapitia hatua mbalimbali... kumbuka wengi wameishia kudate na kuja kuonana kwa mara ya kwanza baada ya upanga hata mipango ya kuoana! Imagine mtu anasafiri all the way kutoka Norway ( hiki ni kisa cha kweli) hadi Tanzania kuja kuoa mwanamke waliokutana online.Loh and behold..huyo bwana harusi alikuwa ni babu mzee aliyemzidi umri baba wa bibi harusi... halafu alikuwa na historia yenye utata..gap from when he was 30 hadi around 65 haikuweza kuwa accounted for maana ndugu wa mwanamke ilibidi kuingilia kati kuanza kumsaili! Binti yule was barely 25!
Usiangalie tu na kudhani kuwa kila mtu ana ile sophistication ka labda uliyo nayo ya kuweza kucheza karata zake vema - akakwepa unwanted na ku embrace yule anaye fit vigezo.

Umeniacha hoi kwenye ati ukikutana na mtu kinaeleweka.... sasa ndugu yangu si lazima kieleweke?
 
NN
Nadhani naelewa online dating maana yake lakini usisahau muanzisha mada aliuliza kuwa Would you look for a spouse online?
Nadhani haimaanishi just casual dating bali dating inayoishia kuwa wenzi wa maisha.Ingekuwa ni date tu basi ningekubaliana na wewe unavyosema kuwa.......utapitia hatua mbalimbali... kumbuka wengi wameishia kudate na kuja kuonana kwa mara ya kwanza baada ya upanga hata mipango ya kuoana! Imagine mtu anasafiri all the way kutoka Norway ( hiki ni kisa cha kweli) hadi Tanzania kuja kuoa mwanamke waliokutana online.Loh and behold..huyo bwana harusi alikuwa ni babu mzee aliyemzidi umri baba wa bibi harusi... halafu alikuwa na historia yenye utata..gap from when he was 30 hadi around 65 haikuweza kuwa accounted for maana ndugu wa mwanamke ilibidi kuingilia kati kuanza kumsaili! Binti yule was barely 25!
Usiangalie tu na kudhani kuwa kila mtu ana ile sophistication ka labda uliyo nayo ya kuweza kucheza karata zake vema - akakwepa unwanted na ku embrace yule anaye fit vigezo.

Umeniacha hoi kwenye ati ukikutana na mtu kinaeleweka.... sasa ndugu yangu si lazima kieleweke?

Duh! Salaleh....hiyo ya kwenda overseas kutafuta mwenza ni kali but people find love in strange places.

NB: Ila kabla ya ku settle na spouse nadhani ni busara na vyema ku date kwanza. Dating ni hatua muhimu katika kumpata mwenza wako wa kufa na kuzikana kama wasemavyo watu. Mtu akiiruka hiyo hatua (dating) na kuchukua spouse moja kwa moja atakuwa na matatizo. Sasa hata dating tunaweza tuka i breakdown vile vile. Kuna ku date tu ili mradi na kuna serious dating. Pia kuna dating ambayo unaacha options zote wazi. Oooh well ni mtazamo tu huu. Peace
 
all in all,when it comes to love,contrary to what we talk in public,all mankind are weak.no particular formulae works in love.marriage is trial and error,plunge into the abyss and either live to REGRET or REJOICE.it is simple as that.
 
Huu ni upatu wa DECI kama jamaa alivyosema, but sometimes works kwa wale wenye bahati zao.

Nashauri kudate online.
 
Wazo la kufahamiana na kuchumbiana na hata kutimiliza tamati ya penzi kabla ya, lina sura nzuri, linaonekana lina mantiki, utabebanaje na mtu hata humjui, ukaja kuta hampikiki jungu moja? Au mgonjwa. Utajuaje?

Lakini, "the greatest ideas must yield to reality," mhenga wa kizungu alisema.

Reality ni kwamba Wahindi, kwa mfano, na hata Waafrika (wanaondeleza jadi) mtu anakutana na mumewe-to-be siku ya ndoa. Lakini ndoa zao zinadumu kuliko za Magharibi, ambapo kabla hujao lazima mwenzio umchokonoe na kumchambua na kumchokoa kama nyama ya dafu. Na ndoa zao ndio hivyo tena, hazifanikiwi.

Hizo ni facts, sijui hitimisho la hizo facts au zinamaanisha nini kuhusu kujuana kabla, lakini hizo ndio facts.
 
Wazo la kufahamiana na kuchumbiana na hata kutimiliza tamati ya penzi kabla ya, lina sura nzuri, linaonekana lina mantiki, utabebanaje na mtu hata humjui, ukaja kuta hampikiki jungu moja? Au mgonjwa. Utajuaje?

Lakini, "the greatest ideas must yield to reality," mhenga wa kizungu alisema.

Reality ni kwamba Wahindi, kwa mfano, na hata Waafrika (wanaondeleza jadi) mtu anakutana na mumewe-to-be siku ya ndoa. Lakini ndoa zao zinadumu kuliko za Magharibi, ambapo kabla hujao lazima mwenzio umchokonoe na kumchambua na kumchokoa kama nyama ya dafu. Na ndoa zao ndio hivyo tena, hazifanikiwi.

Hizo ni facts, sijui hitimisho la hizo facts au zinamaanisha nini kuhusu kujuana kabla, lakini hizo ndio facts.

Kinnega, mnaweza kabisa kuamua kufahamiana online baada ya wote kuwa comfortable to each other. Kama mkiwa waangalifu na kuchukuana taratibu katika safari ya penzi lenu bila haraka wala pupa basi mnaweza kufahamiana vizuri kabisa online na hata mkiamua kukutana kama wote mpo tayari kufanya hivyo basi inakuwa ni kama watu mliofahamiana miaka chungu nzima na mmeshayazungumza mengi kuhusu mnavyopenda na msivyopenda sasa inakuwa ni kujenga penzi kuelekea kwenye ndoa kama mkiamua kufuata njia hiyo.
 
Last edited:


Kinnega, mnaweza kabisa kuamua kufahamiana online baada ya wote kuwa comfortable to each other. Kama mkiwa waangalifu na kuchukuana taratibu katika safari ya penzi lenu bila haraka wala pupa basi mnaweza kuhahamiana vizuri kabisa online na hata mkiamua kukutana kama wote mpo tayari kufanya hivyo basi inakuwa ni kama watu mliofahamiana miaka chungu nzima na mmeshayazungumza mengi kuhusu mnavyopenda na msivyopenda sasa inakuwa ni kujenga penzi kuelekea kwenye ndoa kama mkiamua kufuata njia hiyo.

Ni kweli kabisa, mnaweza kuja fahamiana taratibu. Lakini wazo lako ni tofauti kidogo la swala nililoongelea. Katika kujaribu kupanua wigo wa jambo hili, nilifikiria kuhusu watu ambao hawajuani hata kidogo. Ni sawa kuona?

Facts kutoka jamii mbalimbali duniani zinaonyesha kwamba wasiojuana kabla ya ndoa, watu wa Indian Subcontinent, na Waafrika (hasa zamani), kwa mfano, ndio ndoa zao zinafanikiwa, zinadumu zaidi.

Kifupi, pembe ambayo ninaliangalia swala hili, ni, je, kutojuana kabla ya kuchukuana jumla jumla ni vibaya? Vipi?
 
Hii ya kutafuta spouse online i think the best way kwanza wote wawili mnahamu ya kuwa na rafiki/mpenzi then mke au mme. kudanganya kupo sehemu zote watu tumeona wameoa maCD bilakuja amedanganjwa!! online dating/spouse searching is good use of technology sasa watu wanataka twendele kulekule kwenye ujima. munatafutana kwenye uchocholo, kisimani, shambani. lakini sasa watu wapo busy they dont have such kind of meeting points.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom