Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Lets say wewe ndo ungekuwa Mister....oh sorry- Sir Alex Ferguson na umemuuza Ronaldo kwa £80m (Pheeeew....those rich bastard could have bought Newcastle United with this money!!!!) na wamiliki wa timu wanakuambia hawataki hata senti tano kwenye hilo deal na wanataka kuona ukitumia hiyo hela yote kusajili mchezaji/ au wachezaji ambao unaamini wataziba pengo la Ronnie kabla msimu mpya haujaanza. Je utamsajili nani? Lets play some fantasy football.......