Lets critisize ourselves

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Wanajamvi
Mara nyingi tunaongelea mafanikio na mapungufu ya mashirika, viongozi wetu wa siasa dini, ofisi. Tunaongea matatatizo yakwenye mahusiano. Je sisi tuna ujasiri za kujitazama kwenye kioo?

Naomba tujiulize hili swali na kujibu japo kwa ufupi.
  1. Je mimi binafsi najiona nina mapungufu au udhaifu gani?

Binafsi mapungufi au udhaifu nilionao ni
  • Naweza kutoroka au kuhairisha kazi sababu ya kideti na msichana
  • Naogopa kuonekana mbaya mbele ya marafiki zangu kwa hiyo sa nyingine siwi mkweli kwao.
Wewe je ?

Karibuni kwenye hii self weaknessmeter
 
Wanajamvi
Mara nyingi tunaongelea mafanikio na mapungufu ya mashirika, viongozi wetu wa siasa dini, ofisi. Tunaongea matatatizo yakwenye mahusiano. Je sisi tuna ujasiri za kujitazama kwenye kioo?

Naomba tujiulize hili swali na kujibu japo kwa ufupi.
  1. Je mimi binafsi najiona nina mapungufu au udhaifu gani?

Binafsi mapungufi au udhaifu nilionao ni
  • Naweza kutoroka au kuharisha kazi sababu ya kideti na msichana
  • Naogopa kuonekana mbaya mbele ya marafiki zangu kwa hiyo sa nyingine siwi mkweli kwao.
Wewe je ?

Karibuni kwenye hii self weaknessmeter
Hapo kwenye red ulitaka kumaanisha "kuahirisha"? Au?
 
Wanajamvi
Mara nyingi tunaongelea mafanikio na mapungufu ya mashirika, viongozi wetu wa siasa dini, ofisi. Tunaongea matatatizo yakwenye mahusiano. Je sisi tuna ujasiri za kujitazama kwenye kioo?

Naomba tujiulize hili swali na kujibu japo kwa ufupi.
  1. Je mimi binafsi najiona nina mapungufu au udhaifu gani?

Binafsi mapungufi au udhaifu nilionao ni
  • Naweza kutoroka au kuhairisha kazi sababu ya kideti na msichana
  • Naogopa kuonekana mbaya mbele ya marafiki zangu kwa hiyo sa nyingine siwi mkweli kwao.
Wewe je ?

Karibuni kwenye hii self weaknessmeter
Hoja yako nimeipenda sana,....,turudi kwetu sis wenyewe kwanza kabla hatujakimbilia kwenda kumponda Mtikila, au RA, n.k. Ni hapo tu patakapokuja kutuonyesha njia ya baadaye. Wewe unafanya vitu vimefanana fananaje? Mimi je nafanyafanyaje?
 
Jamani tujaribu kutaja hata weakness za uwongo basi. au tujivike weakness za wengine. najua hapa itakuwa rahisi. Tutaje weakness za wafanyazi wenzeti, wapangaji wenzetu, viongozi wetu. Tukipata mlolongo wa weakness tunaweza kujitazama katika zilizotajwa zipi zinatuhusu. But hii thread inaweza kukupa picha kwa nini soory ni gumu miongoni mwetu hasa kwa wanasiasa. Kwa nini wengi wetu hatukubali kujikosoa na mbaya zaidi hatupendi kukosolewa. sisi wana jf tukiwa wanasiasa wa au viongozi wa jamii kesho ni yale yale. Je unaweza kuwa mme/mke bora nyumbani, mkazi mzuri mtaani, mfanyakazi bora zaidi ofisini, meneja mzuri zaidi , kiongozi mwenye maadili kwenye ngazi mbali mbali bila kutambua mapungufu na matatizo yako? To be better and even more better we need to identify our weakness and work on them.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom