Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Ndugu zangu wanaJF tuwe wakweli,
Hivi kwa staili ya uongozi wa kikwete ni nani anayeweza kushindwa kuongoza Tanzania? Kauli kama hii, aliwahi kutamka Baba wa Taifa Mwl. Nyerere wakati akimnadi Mkapa kwenye mkutano wa hadhara Mjini Iringa. Kama mtakumbuka wakati huo uongozi wa nchi ulikuwa umepwaya sana. Nyerere alisema nanukuu 'nchi imeongozwa hovyo hovyo kiasi cha kila mtu kujisikia kuwa anaweza kuwa rais'. Kwa mawazo yangu, uongozi wa kikwete ni hovyo kuliko hata ilivyokuwa wakati wa Mwinyi.
Hivi kwa staili ya uongozi wa kikwete ni nani anayeweza kushindwa kuongoza Tanzania? Kauli kama hii, aliwahi kutamka Baba wa Taifa Mwl. Nyerere wakati akimnadi Mkapa kwenye mkutano wa hadhara Mjini Iringa. Kama mtakumbuka wakati huo uongozi wa nchi ulikuwa umepwaya sana. Nyerere alisema nanukuu 'nchi imeongozwa hovyo hovyo kiasi cha kila mtu kujisikia kuwa anaweza kuwa rais'. Kwa mawazo yangu, uongozi wa kikwete ni hovyo kuliko hata ilivyokuwa wakati wa Mwinyi.