Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Ladies and Gentlemen,
Hili swali linaweza kujibiwa na wanaume na wanawake walio kwenye ndoa. Ebu tuwe wakweli, hivi katika siku ambazo bahati mbaya ulianguka kwenye uzinzi kama ni mwanaume je, ulitumia kondomu na kama ni mwanamke je, mwanaume wako alitumia kondomu? Kama kondomu haikutumika, sababu ilikuwa ni nini?? Tuwe wakweli tu. Hapa ni mahali pa kujimwaga.
Hili swali linaweza kujibiwa na wanaume na wanawake walio kwenye ndoa. Ebu tuwe wakweli, hivi katika siku ambazo bahati mbaya ulianguka kwenye uzinzi kama ni mwanaume je, ulitumia kondomu na kama ni mwanamke je, mwanaume wako alitumia kondomu? Kama kondomu haikutumika, sababu ilikuwa ni nini?? Tuwe wakweli tu. Hapa ni mahali pa kujimwaga.