Umeamka asubuhi, ukakuta binadamu wote duniani wamekufa au hawaonekani, na umebaki peke yako.
Redio na mawasiliano ya cmu hayafanyi kazi,kwani operators nao wame collapse.
Chakula na chochote unaweza pata kwani hakuna wa kukuzuia ukienda super market.
Inapita saa, siku wiki, huoni mtu.
Je na wewe utajiua au utaendelea kuponda raha kwa kula vizuri,kuangalia movie na kusikiliza miziki mikubwa?
Redio na mawasiliano ya cmu hayafanyi kazi,kwani operators nao wame collapse.
Chakula na chochote unaweza pata kwani hakuna wa kukuzuia ukienda super market.
Inapita saa, siku wiki, huoni mtu.
Je na wewe utajiua au utaendelea kuponda raha kwa kula vizuri,kuangalia movie na kusikiliza miziki mikubwa?