Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
duu kumbe na wew MR unatemblea na huku niljua ni kule tu kenye mambo yetu....
Hahahha Ndeticha lol :A S 465::A S 465::A S 465: nipo kona zote
duu kumbe na wew MR unatemblea na huku niljua ni kule tu kenye mambo yetu....
Hujui kujenga hoja, halafu hii cyo habari ya ki-Intelligencia....magari 400 unayajua ww au umeboreka na foleni ya kwenda mji wa Bush?, Ilivyo ni kwamba Ikulu ni makazi ya Rais....hapo Felly cyo ikulu bali ni ofisi ya rais so pakiungua tutamiss document za nchi za mikataba ya madini ambazo ni siri na ambazo cyo siri zimetunzwa pengine kabisa,, so hata Tsunami ikija we don't care coz aliyeko pale hatuhusu, ila tutackitika vijicent vyetu hapo twins tower na wasomi wetu hapo IFM
naomba kuwasilisha
Nipo around ikulu area for three hours magari zaidi ya 400, watu maalfu na i dont see any safety hapa kikisanuka, foleni ya kuvuka kwnda kigamboni ni kubwa sana na sio strengthened security wala measures to address congestion for the safety of our beloved president
wataalam, ni sawa?
tupe taarifa zaidi, kuna mtu au kikundi cha watu ambao unajua wana nia ya kufanya mashambulizi? In case of confidential info, just PM me please.Jaxx on a serious note bila utani yale maeno as much as unasema ni ofisi ya rais, kwa upande wa usalama kama kuna mbaya ana nia mbaya na Ikulu that is a very convienient spot kupanga mashambulizi maana pako very busy na ni karibu na hayo makao. Apangae mashambulizi hapangi on the exact spot bali maeneo ya pembeni.
Nipo around ikulu area for three hours magari zaidi ya 400, watu maalfu na i dont see any safety hapa kikisanuka, foleni ya kuvuka kwnda kigamboni ni kubwa sana na sio strengthened security wala measures to address congestion for the safety of our beloved president
wataalam, ni sawa?
Hujui kujenga hoja, halafu hii cyo habari ya ki-Intelligencia....magari 400 unayajua ww au umeboreka na foleni ya kwenda mji wa Bush?, Ilivyo ni kwamba Ikulu ni makazi ya Rais....hapo Felly cyo ikulu bali ni ofisi ya rais so pakiungua tutamiss document za nchi za mikataba ya madini ambazo ni siri na ambazo cyo siri zimetunzwa pengine kabisa,, so hata Tsunami ikija we don't care coz aliyeko pale hatuhusu, ila tutackitika vijicent vyetu hapo twins tower na wasomi wetu hapo IFM
naomba kuwasilisha