Andindile
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 304
- 16
Ndugu wana JF harakati za kumzuia mwananchi kupata taarifa kuhusu yanayoendelea ndani ya "serikali yake" zimepamba moto. Kwa upande wangu nafikiri inabidi tujaribu kutafuta maana ya serikali ili tujue hiyo selikari wanayotaka kuifichia siri ni ipi, inaundwa na nani kwa malengo gani.
What is the meaning of government? (Selikari ni nini?)
Tutumie sources zote zilizopo kupata maana mbalimbali ya selikari na tujiulize ni maana ipi ya serikali tunamaanisha tunapotaka kuficha siri ili wananchi wasijue kinachoendelea serikalini.
Masharti ya kushiriki.
Toa maana ya selikari na source yake (author na mwaka wa publication). Kama ni wewe mwenyewe au author mwingine tuambie.
Haya na tuanze.
Serikali ni.....................................
What is the meaning of government? (Selikari ni nini?)
Tutumie sources zote zilizopo kupata maana mbalimbali ya selikari na tujiulize ni maana ipi ya serikali tunamaanisha tunapotaka kuficha siri ili wananchi wasijue kinachoendelea serikalini.
Masharti ya kushiriki.
Toa maana ya selikari na source yake (author na mwaka wa publication). Kama ni wewe mwenyewe au author mwingine tuambie.
Haya na tuanze.
Serikali ni.....................................
Last edited: