.Asante, St Peter na St Joseph patajaa, maana ndo njia ya watu wanaotoka makazini.
.Asante kukumbusha. Nawe barikiwa pia
....ivi ndio last SAPA sio?...6.30pm mpango mzima!
.mbona mnashukuru tu kwa ujumbe? hatualikani pasaka?
.nashukuru kwa kutukumbusha hope nawe unajiwekea hazina