Hivi kwa nini waIslamu wengine wanaona kama Wakristo ni maadui zao badala ya kuhangaika na wale wasioamini Mungu au wale wanaoabudu miungu? Waislamu hawa wanaona Mhindu anaemwabudu Krishna an miungu mingine ni sawa tu.
Kwa hiyo kwa Padri kusalimia hao wazee ndio imekuwa 'Zanzibar kufikishwa katika hali hii'?
Hivi kwa nini waIslamu wengine wanaona kama Wakristo ni maadui zao badala ya kuhangaika na wale wasioamini Mungu au wale wanaoabudu miungu? Waislamu hawa wanaona Mhindu anaemwabudu Krishna an miungu mingine ni sawa tu.
Kwa hiyo kwa Padri kusalimia hao wazee ndio imekuwa 'Zanzibar kufikishwa katika hali hii'?
Injinia, mpe heshima yake stahiki/stahili, huyu ni Bishop Dr. Valentino Mokiwa, Mkuu wa Kanisa la Anglican la Tanzania. Na kwa wasio jua, ni Kanisa hili la Anglican ndilo lililolipia gharama za kuwakomboa watumwa waliokuwa wakimilikiwa na Waarabu mara baada ya kukomeshwa kwa biashara ya utumwa. Sio tuu, iliwalipia na kuwaachia huru, bali pia ni kanisa hili ndilo lililotoa waalimu wa karibu skuli zote za enzi za mkoloni, vinginevyo wenzetu wa huko, elimu yao ingebakia madrasa tuu!Kwa hiyo kwa Padri kusalimia hao wazee ndio imekuwa 'Zanzibar kufikishwa katika hali hii'?
Msiwafanye kuwa marafiki zenu na mkawapa siri zenu ni matamshi ya Mmungu aliyotamka ndani ya kitabu chake kitukufu Quran alichokiteremsha katika mwezi wa Ramadhani.