Code Breaker
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 1,019
- 445
Hiyo 1990, swala la mwenyekiti lilichukuliwaje/lilipokelewaje?5: Leo ni tar 13/9 Siku ya 257 bado siku 109 kumaliza mwaka 2016
Matukio ya leo kitaifa
-1990 katibu mkuu wa ccm marehemu Kolimba asema ukiritimba wa ccm umekwisha hivyo wana ccm wana uhuru zaidi wa kujiletea maendeleo bila misuli na ruhusa ya chama
Kimataifa
- 2000 ni siku ambayo taifa la Palestine lingetangazwa
-1997 mazishi ya mama Theresa wa Calkuta aliyefariki tar 5/9..hivi karibuni katangazwa mtakatifu