Kindimbajuu
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 710
- 243
ndo hivyo mkuu,yaani jamaa hata nikimpigia simu swali la kwanza ni kama nimepata nafasi ya usalama wa taifa au njia ya kumnasua mchumba atoke kwenye hiyo kazi
ha haha , vijana bana. huyu jamaa anatafuta kazi ya usalama wa taifa, hakuna jipya hapo.
lakini mwambie akumbuke kuwa taifa lenyewe ni kama halipo vile , sasa huo usalama wa nini ?