VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Yangu ilianza na kukutana na Rais wa CWT,Gratian Mkoba kwa mazungumzo mafupi. Baada ya hapo nikaelekea Mahakamani kabla ya kurejea ofisini na kisha nyumbani. Kiujumla leo yangu ilikuwa poa. Wewe je Mkuu?