Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Huwa inaanza kama utani. Leo wanadhulumiwa kura zao tunasikia kuwa wanarusha chupa za maji. Lakini naamini kuwa hasira inavyoongezeka, kesho hizo chupa zitarushwa zikiwa zimejaa petroli, then utarusshwa moto.
Hawa askari wenye mabomu ya machozi wanajidai kutuliza watu wanaorusha chupa za maji. Lakini naamini siku askari akirushiwa chupa ya Petroli, na yale magwanda wanayovaa, atawaka hadi awe mshkaki.
Sitaki Vurugu Tanzania, Lakini tume ya uchaguzi, na serikali inataka kukaribisha hatari nchini...
Hawa askari wenye mabomu ya machozi wanajidai kutuliza watu wanaorusha chupa za maji. Lakini naamini siku askari akirushiwa chupa ya Petroli, na yale magwanda wanayovaa, atawaka hadi awe mshkaki.
Sitaki Vurugu Tanzania, Lakini tume ya uchaguzi, na serikali inataka kukaribisha hatari nchini...