Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,598
- 52,298
na akirudi home utasikia 'we mwanamke leta chakula hapa'.
hao ndo wale wazee, nyumbani wanakula ugali na mchicha, yeye anapita baa kula nyamachoma na ndizi...... kweli uzazi ni wito...