Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
salam hizi zimfikie asprin.Msiende na kibaby walker mbugani, mtaumia bure
salam hizi zimfikie asprin.Msiende na kibaby walker mbugani, mtaumia bure
Sidhani kama hizi pic za Serengeti. Nitatafuta niwatumie zilikopigwa
Unanionea bure.......... Ni sawa na kumpa GY salamu za Canter. Unyanyasaji huu!salam hizi zimfikie asprin.
Bora Tembo, ingekuwa Mnyama Simba, lazima kuna mtu angeliwa kama Yanga.
Salamu ziwafikie wale walioenda Tarangire Dec 2010......
View attachment 36546View attachment 36547View attachment 36548View attachment 36549View attachment 36550View attachment 36551View attachment 36552
Tuko more interested na episodes za tukio, na sio specifically wapi picha zilikopigiwa!Actually, These photos are from Thursday, Feb. 17 by someone from Centurion in Pilanesberg game reserve, South Africa . The guy in the white Volkswagen was trying to get past the elephant.
Mkuu,Nimekupata Preta, hatari sana huyu mnyama, vipi mwaka huu itakuwa wapi??
Bora Tembo, ingekuwa Mnyama Simba, lazima kuna mtu angeliwa kama Yanga.
kukudokeza tu....naomba ununue swimming costume ya uhakika......venue utajulishwa....
me miss you bana.....long time ujue......
Mkuu, si mambo hayo...Hapana shaka, nitatayarisha, nilikuwepo huko last week, sikukaa sana, nilikutana na Sahara voice pekee
wacha tu......he he he.....hivi HMethod ndio kaenda wapi siku hizi.....yeye si ndio alikuwa anampooza yule wa siku ile....hivi unamkumbuka huyu.....
<br />Mkuu, <br />
Hujaipata location ya safari hii bado?<br />
Kwa kumsaidia Preta ni kati ya Zenji na Mombasa!!<br />
Najua utakuwa nasi!
Kawaida yao..... hawalii tena siku hizi.ODM unawakumbusha majonzi
Habari yangu njema. Inakuwaje hupokei simu yangu? Au ndo unakaribia kujifungua?Hili nalo neno, habari yako binafsi broda.
Salamu kwisa fikisa............Tatizo ye kashafikiria mpango wa nje. Ukipigiwa simu ujue ndo hivyo tena.........ambia hiyo mutu....roho yangu nadunda sana kukosa yeye.......
Mkuu,
Hujaipata location ya safari hii bado?
Kwa kumsaidia Preta ni kati ya Zenji na Mombasa!!
Najua utakuwa nasi!