vukani
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 245
- 165
Ndugu wana JF, leo nataka tujifunze namna ya kuomba maji kupitia lugha za makabila tofauti tofauti.
Hivi karibuni nilikwenda Wilayani Babati, kule nikakutana na watu wa kabila moja liitwalo Wasandawi, nilikuwa na kiu, lakini nilipata tabu sana kuomba maji maana lugha pekee ambayo nilitakiwa kuwasiliana nao ilikuwa ni Kisandawi, basi ilikuwa kaazi kweli kweli.
Kipare:
Nighenja mazi ya kunwa=Nisaidie maji ya kunywa
Kinyawezi:
Nalilomba minze kakunwa=Naomba maji ya kunywa
Kichaga:
Ngikundi Mringa= Naomba maji ya kunywa
Kingoni:
Nitangatilai manji mlongo wangu=Naomba maji ya kunywa ndugu yangu
Kimasai:
Njaaghe Ngare= Naomba maji ya kunywa
Kihehe:
Ndisuka Ululenga= Naomba maji ya kunywa
Kimeru:
Ngitelewa Mringa= Naomba maji ya kunywa
Kijaluo:
Miaa pi= Naomba maji ya kunywa
NIMEPATA MSAADA KWA MJUVI WA LUGHA YA KIJAPANI
Kijapani:
Kwanza inabidi useme:- 1. kao nodo itai - nina kiu
2. mizu nomu itai - nina hamu ya kunwya maji
Ukisha sema moja kati ya hayo hapo juu ndio unaunganisha na lingine kati ya haya hapa:-
1. omizu kudasai
2. omizu chodai
3. omizu onegai shmasu
Kihaya:
Ninshaba amaizi= Naomba maji ya kunywa
Kimanda:
Nisuka masi gakunywa=Naomba maji ya kunywa
Kiswidi:
Kani jag be att får ett glas vatten=Naomba maji ya kunywa
Kisimbiti:
Ndasabha amanshe ghukunywa=Naomba maji ya kunywa
Waluguru:
Nigaile machi ya kunyuwa=Naomba maji ya kunywa
Kizulu:
ng'icela amanzi=Naomba maji ya kunywa
Kimatengo:
Naa masi ga kuunywa=Naomba maji ya kunywa
Kidachi,
Ik wil water om te drinken, au Kan ik heb water te drinken **'Wil' tamka vil, na 'Water' tamka 'Vata=Naomba maji ya kunywa
Haya wengine mtajazia hapo.
Hivi karibuni nilikwenda Wilayani Babati, kule nikakutana na watu wa kabila moja liitwalo Wasandawi, nilikuwa na kiu, lakini nilipata tabu sana kuomba maji maana lugha pekee ambayo nilitakiwa kuwasiliana nao ilikuwa ni Kisandawi, basi ilikuwa kaazi kweli kweli.
Kipare:
Nighenja mazi ya kunwa=Nisaidie maji ya kunywa
Kinyawezi:
Nalilomba minze kakunwa=Naomba maji ya kunywa
Kichaga:
Ngikundi Mringa= Naomba maji ya kunywa
Kingoni:
Nitangatilai manji mlongo wangu=Naomba maji ya kunywa ndugu yangu
Kimasai:
Njaaghe Ngare= Naomba maji ya kunywa
Kihehe:
Ndisuka Ululenga= Naomba maji ya kunywa
Kimeru:
Ngitelewa Mringa= Naomba maji ya kunywa
Kijaluo:
Miaa pi= Naomba maji ya kunywa
NIMEPATA MSAADA KWA MJUVI WA LUGHA YA KIJAPANI
Kijapani:
Kwanza inabidi useme:- 1. kao nodo itai - nina kiu
2. mizu nomu itai - nina hamu ya kunwya maji
Ukisha sema moja kati ya hayo hapo juu ndio unaunganisha na lingine kati ya haya hapa:-
1. omizu kudasai
2. omizu chodai
3. omizu onegai shmasu
Kihaya:
Ninshaba amaizi= Naomba maji ya kunywa
Kimanda:
Nisuka masi gakunywa=Naomba maji ya kunywa
Kiswidi:
Kani jag be att får ett glas vatten=Naomba maji ya kunywa
Kisimbiti:
Ndasabha amanshe ghukunywa=Naomba maji ya kunywa
Waluguru:
Nigaile machi ya kunyuwa=Naomba maji ya kunywa
Kizulu:
ng'icela amanzi=Naomba maji ya kunywa
Kimatengo:
Naa masi ga kuunywa=Naomba maji ya kunywa
Kidachi,
Ik wil water om te drinken, au Kan ik heb water te drinken **'Wil' tamka vil, na 'Water' tamka 'Vata=Naomba maji ya kunywa
Haya wengine mtajazia hapo.