Alagwa
Member
- May 30, 2012
- 95
- 83
Baadhi ya mambo ni ya kupuuzi sana kama hii siku ya leo watu wanaadhimisha siku ya unawaji mikono siku moja ya leo lakini kesho unakula bila ya kunawa kwanini tunaigiza maisha jamani watanzania BE REAL KAMA HAUNAWAGI MIKONO LEO ACHA KUIGIZA ENDELEA TUU ALAFU YAKIKUPATA TUTAKUZIKA TUU