Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
naamini sote tunajua kuwa leo ndio siku ya ukimwi duniani.wana JF tumepima? tanzania bila ukimwi inawezekana? je tupo wazi kwa watoto,wadogo,vijana wetu kueleza kuhusu gonjwa hili hatari? au ndo tunajadili tu kuhusu dawa za kichina? tunasaidiaje kuondokana na hili tatizo?
TUJADILI...
TUJADILI...