kichomi
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 508
- 54
Huyu jamaa alikuja na kathread kake eti kaota ndoto mara kupata fahamu akajikuta GAMBA limevuka!!! Lakini sio wa kuaminika sana
Huyu jamaa ni ndumilakuwili,akisema moja ujue anamaanisha 2,nafikili kuna fuse zimekata kwenye ubongo wake.