Salaam zimefika mkuu, Hahahahaha!! Eti tukishinda wanatuhusisha na mafisadi homeboy, wananiboa mie!! Yanga isihusishwe kabisa na mafisadi, ni rangi tu jamani!! HahahahahaSafi sana homeboy, wasalimie WanaYanga huko Negezi, Kanawa, Ikonda, Wela, Uchunga, Mhunze hadi Kishapu. Yanga oyee! Mwenye chuki ajinyonge.
ndomyanayanga wanamichezo bwana , unakumbuka nyie mkistukia kupigwa nyingi mnakimbia half time hamrudigi,, mara mbili mmeikimbia yanga half time,. Pole sana na heli tunaompigia magoti jizi la mali ya umma manji kuliko nyie mnaokula rambirambi, nafkiri mnaombea afe mwingine mpate kula rambirambi tena
ndomyana
Yanga hajawahi kugoma kupeleka timu uwanjani?, hivi yanga mnavyo chonga hivi ingekuwa nyie ndiyo mmetufunga tano bila ingekuwaje maana sasa hivi masaburi yenu haya tulii kisa mmemfunga Azam, halafu kwa taarifa yako siyo kwamba rambirambi tumekula rambirambi hatujaletewa mtu alie pendekezwa kusimamia mirathi ya Mafisango na ubalozi wetu nchi DRC ume tuonya kuwa makini na swala hilo hivyo kama leo wakileta docs za mtu atakae simamia mirathi ya patrick simba hatuwezi kula pesa ya rambirambi na ikumbukwe Mafisango ana tutai pesa si ya rambirambi tu bali mishahara yake miwili, pesa ya bonus ya ubingwa na marupurupu mengine. mtani acha kukurupuka.