Hutaki unaacha,umekunywa panadol lkn?...nina uhakika wewe ni mmoja kati ya wale mliojeruhi mioyo yenu kwa maumivu,kunywa panadol pumzika Mwana
acha mjipooze maada zile tano mtungi siyo mchezo sijui mtazilipa lini halafu mnamzo msujudi fisadi manji atakiwaambia kuinama mtainama..
acha mjipooze maada zile tano mtungi siyo mchezo sijui mtazilipa lini halafu mnamzo msujudi fisadi manji atakiwaambia kuinama mtainama..
Yanga daima mbele, nyuma mwisho. Mkuu hayo mayai ni ya nini? Nahisi siyo ya kuku vile.acha aibe kwani sisi tunafaidi nini siku zote, kikubwa ni ushindi tu!! ndio raha yetu!!!!!!!!!!!!!!mtajijuuuu
Yanga daima mbele, nyuma mwisho. Mkuu hayo mayai ni ya nini? Nahisi siyo ya kuku vile.
Kwenye siasa mitusi hata hapa kwenye sports hayo hayo? Utakuwa una matatizo sana ndugu.
acha aibe kwani sisi tunafaidi nini siku zote, kikubwa ni ushindi tu!! ndio raha yetu!!!!!!!!!!!!!!mtajijuuuu
Nasikia Yanga Ilishinda KWa Taabu Sana
Hakuna mtu mwizi kama Rage, alishanyea ndoo gerezani kwa ufisadi ndani ya FAT. Huyo Rage wenu amechangia nini Simba? Manji aliwahi kutoa Mil. 100 watu wakaingia Kirumba bure, huyu ni mpenzi wa kweli wa Yanga. Manji ana mali nyingi kuliko Yanga, sasa aibe nini? Rage hana mali kama Simba, sasa kwa nini asiibe?
yanga wanamichezo bwana , unakumbuka nyie mkistukia kupigwa nyingi mnakimbia half time hamrudigi,, mara mbili mmeikimbia yanga half time,. Pole sana na heli tunaompigia magoti jizi la mali ya umma manji kuliko nyie mnaokula rambirambi, nafkiri mnaombea afe mwingine mpate kula rambirambi tena
Hakuna mtu mwizi kama Rage, alishanyea ndoo gerezani kwa ufisadi ndani ya FAT. Huyo Rage wenu amechangia nini Simba? Manji aliwahi kutoa Mil. 100 watu wakaingia Kirumba bure, huyu ni mpenzi wa kweli wa Yanga. Manji ana mali nyingi kuliko Yanga, sasa aibe nini? Rage hana mali kama Simba, sasa kwa nini asiibe?
Chifu, ebu tuambie mara ya mwisho Kandambili kuifunga Taifa Kubwa goli nyingi ni lini vile?!?!
Maana hapo kwenye bold ni kama unawasema wazee wa Kandambili vile - hivi karibuni walivyokimbia pale CECAFA.