Leo nimefukuzwa na Fisi, Nilikuwa napiga zoezi.

Nashukuru Mungu Kwa rehema zake. Nipo wilaya moja ya Mkoa wa Simiyu Juzi nilisikia wanakijiji wanasema kuna Fisi hapa kijijini amekuja na tayari ameshakula mtoto alikuwa anaenda shule na kuumua. Baadae nikasikia amemuua ng'ombe na Kula utumbo.
Sasa Leo napiga zoezi amenifukuza kweli kweli nashukuru ingawa mzembe kukimbia nimejitahidi nimepona.
Wew upo Itilima
Iyo ya mtoto nimeshuhudia na style ya kuliwa ng'ombe pia nimeshuhudia ,ulaji ni ule ule tofauti ni mtoto alikuwa chali kipande cha mguu kimebaki kiuno kimeliwa utumbo upo nje, ng' ombe alikuwa kifudifudi, jiran na nilipopanga
Fisi wa huku ni wa ajabu sana na ni weng sana.
Huyu aliyekula mtoto tulimfukuza baadaye akapotea machaka madogo,akaibuka mshkaji anatembea anaenda zake, huyu aliyekula ng' ombe hatukumuona ila ni mzoga ulibaki tu, niliukuta wakat naenda kazin
Wafanyakazi huku, inabidi kuwa na moyo mgumu
 
Sijui nikaishi wapi, dar walisema wanaume tumekuwa suruali tu nikakimbilia mikoani, leo tena wanaume mikoani tumeitwa waoga tena nitahama
 
9ead82e643376275976ff46b4d35c9da.jpg
 
Nashukuru Mungu Kwa rehema zake. Nipo wilaya moja ya Mkoa wa Simiyu Juzi nilisikia wanakijiji wanasema kuna Fisi hapa kijijini amekuja na tayari ameshakula mtoto alikuwa anaenda shule na kuumua. Baadae nikasikia amemuua ng'ombe na Kula utumbo.
Sasa Leo napiga zoezi amenifukuza kweli kweli nashukuru ingawa mzembe kukimbia nimejitahidi nimepona.
utakuwa mwanaume wa dar wewe, unaogooa fisi
 
Msimlaumu sana mleta mada jamani wasukuma ni kiboko kwa uchawi, na uchawi wao ni wa fisi.
Waweza fikiri mtu ana mbuzi kumbe ni fisi, sasa yawezekana huyo ni fisi mtu sio fisi mnyamaaa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom