mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
halafu inarithisha kwa jinsia tofauti na uliyonayo,mfano kama baba ni mashoto,mtoto wa kike anaweza kuwa mashoto,na viceversa!mimi ni mashoto,mwanangu wa kiume ni mashoto,na mimi nimechukua kwa baba zangu,nao wameichukua kwa mama yao ambae ni bibi yangu.hii hali iko kwa mashoto wenzangu kama kumi ninaowafahamu,je nyie wenzangu wa JF kwenu ikoje?
je mnajua kwamba kila binadam anatakko kubwa na dogo? kwa hiyo nyinyi leftist, leo pia mumepewa zawadi nana yule anaefanana na rais wa zimbambwe bungeni leo? kwa hiyo hata mipunyenye yenu inayofanya left drive? naomba majibu