Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Naishangaa siku ya leo,Siku ambayo nilizaliwa.
Leo naishanga kwa kua ni moja ya siku mbaya kwangu,siku ambayo Bibi yangu kipenzi anazikwa tena mimi nikiwa nimeshindwa kuhudhuria mazishi yake.
Nakumbuka mara yw mwisho kuachana na bibi,nilikua na muaga,nikimuuliza nitakapo lejea ungependa nikuletee nini? alijibu kwa hudhuni sana akajibu acha tu mjukuu wangu kwani hutanikuta......,nikamuuliza sitakukuta utakuwa wapi? Bibi alijibu nitakuwa tayari Mungu kaishanichukua.
Tarehe 20 aug,Bado naishangaa siku hii ya leo.
Leo naishanga kwa kua ni moja ya siku mbaya kwangu,siku ambayo Bibi yangu kipenzi anazikwa tena mimi nikiwa nimeshindwa kuhudhuria mazishi yake.
Nakumbuka mara yw mwisho kuachana na bibi,nilikua na muaga,nikimuuliza nitakapo lejea ungependa nikuletee nini? alijibu kwa hudhuni sana akajibu acha tu mjukuu wangu kwani hutanikuta......,nikamuuliza sitakukuta utakuwa wapi? Bibi alijibu nitakuwa tayari Mungu kaishanichukua.
Tarehe 20 aug,Bado naishangaa siku hii ya leo.